Sezariziki
Member
- Jul 10, 2013
- 35
- 2
Habari wana JF
Ni karibu mwezi mzima sasa jimbo la Ubungo especially maeneo ya Kimara kumekuwa na mgao MKALI wa umeme tena bila hata tangazo lolote kwa wananchi.Hivi serikali ya CCM kwa staili hii bado mnasubiria chenu 2015 maana mlishatuahidi tatizo la umeme lita kuwa historia lakini sasa naona mambo yamekuwa tofauti.....
Leteni ukweli hapa.
Ni karibu mwezi mzima sasa jimbo la Ubungo especially maeneo ya Kimara kumekuwa na mgao MKALI wa umeme tena bila hata tangazo lolote kwa wananchi.Hivi serikali ya CCM kwa staili hii bado mnasubiria chenu 2015 maana mlishatuahidi tatizo la umeme lita kuwa historia lakini sasa naona mambo yamekuwa tofauti.....
Leteni ukweli hapa.