Mateo qaresi is lost, past and frustated politician...his views are biased...analalamika tu kwasababu yeye yuko nje ya system..alikuwa mzigo na useless figure wakati wote wa utumishi wake..keep quite you losser..
Enjoy your freedom of expression..lakini huna lolote jipya..kwenye maelezo yako JK is better than you and your past comrades by far..get your record right dude...
Mzee wa pombe za bure upo...utakufa na pombe za mbowe mpaka 2015 utakuwa na obesity ya kufa mtu..you dumb!losser
bwa ha ha ha ha
Mzee wa pombe za bure upo...utakufa na pombe za mbowe mpaka 2015 utakuwa na obesity ya kufa mtu..you dumb!
Hatutapiga tena marufuku baa zote usiwa na hofu utapata vya deso kutoka kwa sponsor wako mpaka 2015 atakapogombea na wewe utakuwa mgombea mwenza ok..mimate inakutoka mwenyewe maana maboko haramu hata pombe mnajifanya kuwa hamnywi.
BTW - ule mpango wenu wa kupiga marufuku baa zote za pombe Tanzania kwa vile ni haramu umeishia wapi? Ushauri wa bure tu - kasome shule kwa wakatoliki ili ujue lugha ambayo unajaribu sana kuitumia hapa jamvini (huku ukichapia kaa umechanganyikiwa vile).
Hatutapiga tena marufuku baa zote usiwa na hofu utapata vya deso kutoka kwa sponsor wako mpaka 2015 atakapogombea na wewe utakuwa mgombea mwenza ok..
Ushauri wako mpe mbowe maana ame-disco mara mbili shule, wanaweza kumsaidia huko vyeti wanatoa burebure..ok
In between we dumb..kati ya vilaza hapa JF...
Pombe pombe eh next..hizi lugha za madrassa tabu tupu
Pombe pombe eh next..
Na wewe bana..sasa ulitegemea kwa level yake Nkangaa angefanya maamuzi gani?hapa anazungumziwa rais sio mawaziri...qaes kajitahidi,
wangapi wanweza kutamka hayo nani ya ccm. japo alifulia siku nyingi lakini angalau anaonyesha anaweza kubweka akiamua. nimemsoma na nkhangaa yule aliyepata kuwa waziri wa kwanza wa mkapa wa tamisemi.
lakini tujiulize. wote hawa wanajua bahati haiji mara mbili, walipopata madaraka hatukuona wakifanya hayo wanayoita maamuzi magumu (wasitake kutuaminisha kuwa maamuzi magumu hufanywa na rais tu), leo hawana madarak ndio wanaona haja ya hayo maamuzi magumu. tupokee mawazo na changamoto zao, tusikatae kwa kuwa wametoa wao lakini kwa wale walio madarakaniau watakaopatta madaraka, kumbukeni mtatutendea wannchi haki zaidi "mkikumbuka shuka kabla usiku haujaisha"
nawasilisha
Waziri wa Mkapa amshukia Kikwete ataka CCM imtose 2010
ATAKA CCM IMTOSE 2010 KAMA HAWEZI KUFANYA MAAMUZI MAZITO
"Matajiri hao hawana wala hawajui hata historia ya CCM, wengine kwanza uraia wao una utata ni wageni."
Baada ya kumaliza kutoa mchango wake ulioufanya ukumbi kuzizima, Dk Salim, ambaye alionekana kumudu vema mkutano huo, alisema: "Ndiyo maana ya mkutano huu. Hapa tunapokea maoni ya watu mbalimbali, lakini si lazima yakubalike na wote, wengine wanaweza kupinga au kukubali."
Mkuu, tatizo sio walikuwa upande upi au wakishika nafasi zipi au mambo yalikuwaje walipokuwa madarakani. Bali tatizo ni hali ilivyo sasa ambayo inafanya watu wengi zaidi kuilaumu serikali na viongozi wake kwa kushindwa kutekeleza majukumu yao (itashangaza kama wewe huoni kuna tatizo). Hasa majukumu ambayo viongozi wote walikula kiapo kuyatekeleza.hawa wote walikuwa serikalini na mambo bado yalikuwa mabaya na rushwa ilikuwa kubwa,ni kwa sababu wamenyang'anywa tonge mdomoni sasa wanatapatapa,pia hawa walikuwa against kikwete na hata salim mwenyewe yuko against kikwete kwa namna moja au nyingine ni lazima watamponda kikwete,mbona wao walipokuwa madarakani walikuwa hawataki kukosolewa na wamefanya nini cha maana kwa watanzania?
Mateo qaresi is lost, past and frustated politician...his views are biased...analalamika tu kwasababu yeye yuko nje ya system..alikuwa mzigo na useless figure wakati wote wa utumishi wake..keep quite you losser..
Enjoy your freedom of expression..lakini huna lolote jipya..kwenye maelezo yako JK is better than you and your past comrades by far..get your record right dude...
Vasco Da Gama anarudi leo.....
Kama asingekuwa anajulikana kuwa mropokaji hovyo mashuhuri ningejua amesema kwa manufaa ya nchi au chama. Anajulikana Qares kutokuwa makini na kauli zake na ni mchapiaji anayekatisha wengine tamaa. Tutajuaje labda anashauri achaguliwe mtu mwingine kuwa raisi ambaye atampa cheo kikubwa serikalini huku yeye akichapa usingizi bila kufanya kazi? Na wazembe anaowasema ni pamoja na yeye mwenyewe. Amefanya nini alipokuwa mkuu wa mkoa Mbeya ila matusi kwa watu waliokuwa wanaathirika na majanga asilia.
Sijasahau aliposema kwamba wanyakyusa wanajenga nyumba mbovu, eti hata kuku akipiga teke anaweza kuangusha nyumba hizo. Maneno ya punguani hayo. Hakuna Mnyakyusa wa sifa za aina hiyo popote uendapo. Nakubali zipo nyumba ambazo sio bora, lakini not such a generalized statement as such!
Bungeni alikuwa full time anauchapa usingizi wakati wenzake wanakukuruka. Bahati mbaya alikujaumbuliwa na ujio wa TV live show za shughuli za wabunge bungeni ambapo tulimwona kila siku akilala usingizi, pale anapopata nafasi ya kuongea ni pumba tu. Kwa hiyo mafisadi wameanza kuondoloewa, ni pamoja na yeye kunyang'anywa cheo alichoshindwa kukifanyia kazi.
Kikwete atamalizia miaka mitano mingine kama jadi ya CCM, Qares na wenzake wapende ama wasipende. Si mnajua Bongo? Qares alipong'olewa kila cheo ilikuwa ni faraja kwa wengi.
Leka