Hajui hata afanye nini wizarani wakati wakuu wote wa vitengo wanawajibika kwa Makufuli
Sidhani kuna mtu hata mmoja anayeenda kuonyesha hata jambo moja la ubunifu au la maana alilofanya mwigulu Nchemba tangu alipokuwa wizara za fedha,kilimo na sasa ya Ndani
Complete big flat zero
Kete yake ni kupambana na CHADEMA tuu hana lingine la kustahili hata Utendaji wa mtaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.