Waziri wa mambo ya ndani jiuzulu, hali sio shwari

MAHANJU

JF-Expert Member
Aug 26, 2014
5,244
7,966
Haiwezekani watu waishi kwa hofu kubwa na mali zao,haiwezekani raia wakamatwe na kupotezwa halafu wakamataji hawajulikani. Haiwezekani kuwa na waziri asiyechukua hatua yupo kwenye matamko tu, mimi kama raia mwema nasema kuwa hili sio jambo jema kabisa.

Mtu anatisha watu silaha hadharani na sura iko kwenye kila media halafu kimya kimetanda hakuna hatua yeyote iliyochukuliwa, tumechoka tumechoka sana na haya.

Tusisubiri mpaka bunge lipatwe na hasira juu ya matukio haya kumwajibisha waziri wa mambo ya ndani, sisi Kama raia tuna kila sababu ya kutoka nje kupasa sauti zetu na kusema sasa inatosha haiwezekani hatujayazoea haya. This is too much, it is so bad.

Kwanini waziri yuko kimya hatoki akavaa Kombati akaungana na wanausalama wote nchini kuyasaka maharamia haya? Wariziri anasubiri nini kuachia ngazi Kama anaona kiatu chake kimempwaya?

Waziri anaonekana mwoga! mwoga! mwoga kuchukua hatua as if sio waziri mwenye dhamana na usalama wa raia na mali zao. Kuna taharuki na hofu zilizotanda ndani ya nyoyo za watu, watu hawafurahii ndani ya taifa lao wamebaki kusononeka.

Waziri wa mambo ya ndani achia ngazi, wapishe wanaoiweza kuifanya kazi hii na kama hakuna basi hata Mh Rais anaweza kubaki na wizara hii kwenye mikono yake ili achukue hatua.
 
Haiwezekani watu waishi kwa hofu kubwa na mali zao,haiwezekani raia wakamatwe na kupotezwa halafu wakamataji hawajulikani. Haiwezekani kua na waziri asiyechukua hatu yupo kwenye matamko tu, mimi kama raia mwema nasema kua hili sio jambo jema kabisa.


Mtu anatisha watu silaha hadharani na sura iko kwenye kila media halafu kimya kimetanda hakuna hatua yeyote iliyochukuliwa, tumechoka tumechoka sana na haya.


Tusisubiri mpaka bunge lipatwe na hasira juu ya matukio haya kumwajibisha waziri wa mambo ya ndani, sisi Kama raia tuna kila sababu ya kutoka nje kupasa sauti zetu na kusema sasa inatosha haiwezekani hatujayazoea haya. This is too much, it is so bad.


Kwanini waziri yuko kimya hatoki akavaa Kombati akaungana na wanausalama wote nchini kuyasaka maharamia haya? Wariziri anasubiri nini kuachia ngazi Kama anaona kiatu chake kimempwaya?


Waziri anaonekana mwoga!mwoga!mwoga kuchukua hatua as if sio waziri mwenye dhamana na usalama wa raia na mali zao. Kuna taharuki na hofu zilizotanda ndani ya nyoyo za watu, watu hawafurahii ndani ya taifa lao wamebaki kusononeka.


Waziri wa mambo ya ndani achia ngazi, wapishe wanaoiweza kuifanya kazi hii na kama hakuna basi hata Mh Rais anaweza kubaki na wizara hii kwenye mikono yake ili achukue hatua.
Akisha juzuru wewe ndo uwe waziri ?! Kwani kila hatua ya kiserikali inatangazwa ? Acha kukurupuka kwa usioyajua !!
 
Haiwezekani watu waishi kwa hofu kubwa na mali zao,haiwezekani raia wakamatwe na kupotezwa halafu wakamataji hawajulikani. Haiwezekani kua na waziri asiyechukua hatu yupo kwenye matamko tu, mimi kama raia mwema nasema kua hili sio jambo jema kabisa.


Mtu anatisha watu silaha hadharani na sura iko kwenye kila media halafu kimya kimetanda hakuna hatua yeyote iliyochukuliwa, tumechoka tumechoka sana na haya.


Tusisubiri mpaka bunge lipatwe na hasira juu ya matukio haya kumwajibisha waziri wa mambo ya ndani, sisi Kama raia tuna kila sababu ya kutoka nje kupasa sauti zetu na kusema sasa inatosha haiwezekani hatujayazoea haya. This is too much, it is so bad.


Kwanini waziri yuko kimya hatoki akavaa Kombati akaungana na wanausalama wote nchini kuyasaka maharamia haya? Wariziri anasubiri nini kuachia ngazi Kama anaona kiatu chake kimempwaya?


Waziri anaonekana mwoga!mwoga!mwoga kuchukua hatua as if sio waziri mwenye dhamana na usalama wa raia na mali zao. Kuna taharuki na hofu zilizotanda ndani ya nyoyo za watu, watu hawafurahii ndani ya taifa lao wamebaki kusononeka.


Waziri wa mambo ya ndani achia ngazi, wapishe wanaoiweza kuifanya kazi hii na kama hakuna basi hata Mh Rais anaweza kubaki na wizara hii kwenye mikono yake ili achukue hatua.
Kama kashindwa kujiuzuru Bashite mwenye kashfa za wazi wazi atajizuru Nchemba?Yeye kabaki kusign na kuchukua mshahara kazi za ulinzi kamwachia second in command after the commander in Chief Mr Bashite!
 
Huyu waziri alihusika sana katka uundaji wa kile kikosi cha green brigade ambacho kilihusika sana katika kutesa na kuteka watu!
Hivyo hata kwenye haya masuala yanayoendelea inabidi aangaliwe kwa jicho la tatu pengine kuna mkono wake!!
 
Maisha yako salama kabisa, bavicha mna hofu sababu maisha yenu ni mitandaoni mnajazana hofu ambayo kiukweli haipo.
Wacha uongo mchana kweupe, Nape CCM damu katuambia raia hawapo salama, wana hofu ya kutekwa na kamuomba rais aunde tume kuujua ukweli ili kujitenga na yanayozungumzwa mitaani. Nape hakuyazungimzia haya mitandaoni, bali kwenye mkutano wa hadhara.
 
Back
Top Bottom