Waziri wa Magufuli agawa ardhi bure kwa wananchi

OGTV

JF-Expert Member
May 22, 2016
353
167
Rais magufuli aliahidi na baadae kuagiza akiwa kama Rais kuwa wale wawekezaji wote ambao wanamiliki mashamba makubwa na hawajayaendeleza kwa muda mrefu watanyang'anywa na ardhi hiyo watapewa wananchi.
 
Rais magufuli aliahidi na baadae kuagiza akiwa kama Rais kuwa wale wawekezaji wote ambao wanamiliki mashamba makubwa na hawajayaendeleza kwa muda mrefu watanyang'anywa na ardhi hiyo watapewa wananchi.

Is this within the confines of law? Akienda mahakamani? After all yeye ni Mkenya
 
Hta sukari aliropoka kuwa atagawa bure. Sijaona hta robo kilo aliyogawa mpaka sasa iv zaidi ya bei ya sukari kupandishwa hadi 2200.
 
Hta sukari aliropoka kuwa atagawa bure. Sijaona hta robo kilo aliyogawa mpaka sasa iv zaidi ya bei ya sukari kupandishwa hadi 2200.
Kweli kabisa swala la Sukari kapotezea kabisaaa!
 
Mugabe naye aligawa kipindi kile.....hivi Kilimo cha eka moja moja kilishawahi kuitoa nchi kiuchumi? Naona mataifa makubwa yanabebwa na walimaji Wakubwa,upande wa Pili,morogoro ina vita vya wakulima na wafugaji,hii haikuwa fursa ya kufanya matumizi bora ya ardhi kwa kwenda pale na wataalam wa ardhi,wakaandaa mpango wa mfano wa matumizi bora ??? Sandakalawe amina?
 
Ni sawa kwasababu ni mali ya wananchi kugawa ni mipango hajato hiyo ardhi hajatoa kenya bali ni mali ya watanzania hakuna jipya hapo.


swissme
 
Rais magufuli aliahidi na baadae kuagiza akiwa kama Rais kuwa wale wawekezaji wote ambao wanamiliki mashamba makubwa na hawajayaendeleza kwa muda mrefu watanyang'anywa na ardhi hiyo watapewa wananchi.

Lukuvi unakuwa that much unprofessional! Umemmiliksha for 99 years sasa leo unasema hakuna. Umejiridhisha kuwa sheria inakuruhusu au unataka kuwa platform politician
 
Ardhi haitatosha milele kama tusipokumbatia usasa katika matumizi ya ardhi....kuna watu wana ekari mbili wanazalisha mamilioni,kimsingi watanzania hawana shida ya ardhi bali wana shida ya maarifa ya kisasa ya kufanyia shughuli zao juu ya ardhi,greenhouse,kilimo cha mjini,fodder,utawagawia wangapi na utaacha wangapi wakati kila siku wanazaliana?na mungu aliumba dunia mara moja tu,wanaozaliwa kesho utawapa nini?
 
Nataraji Mara nyingine aende na wataalam wa Mipango bora ya ardhi.....wakae na wafugaji na wakulima,na kama inabidi aende na wapimaji ardhi,kila anayepata sandakalawe (mgao)anapata na hati miliki ya serikali kwa kuzingatia muongozo wa sheria kwamba wanawake wasiachwe kando,kutoa hath
 
Tunatarajia aende kitaalam na wizara iongoze mchakato wa kuhakikisha wananchi hawaachiwi mgogoro bali furaha NA chereko
 
Ardhi haitatosha milele kama tusipokumbatia usasa katika matumizi ya ardhi....kuna watu wana ekari mbili wanazalisha mamilioni,kimsingi watanzania hawana shida ya ardhi bali wana shida ya maarifa ya kisasa ya kufanyia shughuli zao juu ya ardhi,greenhouse,kilimo cha mjini,fodder,utawagawia wangapi na utaacha wangapi wakati kila siku wanazaliana?na mungu aliumba dunia mara moja tu,wanaozaliwa kesho utawapa nini?

Umeongea point moja nzuri sana ambayo sijui kama watunga sera wanalifahamu hili..
 
Rais magufuli aliahidi na baadae kuagiza akiwa kama Rais kuwa wale wawekezaji wote ambao wanamiliki mashamba makubwa na hawajayaendeleza kwa muda mrefu watanyang'anywa na ardhi hiyo watapewa wananchi.

Mkuu ni wapi huko alikogawa ardhi, maana speaker yangu yawezekana mbovu sijasikia jina?
 
Na sasa baada ya mashamba makubwa watanzania wameanza kudai wapewe sehemu ya mapori ya taifa na Mbuga za wanyama,hata wakipewa zote hawatatosheka
 
Bado wapiga siasa kufurahisha umma

Mkuu kiukweli siasa inatumaliza sana, kuna vitu vinaonekana viko wazi kabisa kama vikifanyika inaonekana kabisa namna taifa litakavyosonga mbele, ndio maana mwisho wa siku inaishia kudhani tu labda system imejaza v.i.l.a.z.a wengi kiasi kwamba hawana uwezo wa kujaribu kufikiri haya..
 
Back
Top Bottom