Pole sana mkuu, lakini hapa nawaza tu kwamba.... Kama mlaji hana hitaji na tunda bichi/changa, kwanini anunuwe..??
Na je, hayo maembe mabichi yanayoliwa na wateja tena kwa chumvi, hauoni kama pengine hilo ndilo hitaji lao..??
Kwenye tikiti kidogo ni ngumu kwa mteja kununuwa likiwa bichi ama changa, kwasababu wateja wengi walisha shtuka kwamba anapo nunuwa tikiti lazima ahakikishe muuzaji amelikata (kisambusa) na mteja ajiridhishe kwamba ananunuwa bidhaa aliyo kusudia.
Kwenye pilipili, hapa naona unafanya masihara mkuu... Yaani kweli hauna uwezo wa kutambua tofauti ya pilipili komavu/ama iliyo iva...!!??