Wizara ya elimu na mamlaka ya nchi inaharibiwa na wanasiasa wenye kutafuta sifa na kuandika historia zao kwenye kuta. Alianza Joseph Mungai (RIP) wakafuata na wengine kwa kila aina ya mabadiliko ya kila aina yasiyo na tijaKama taifa kuwa na idadi kama hii ya wanafunzi wa kidato cha pili wasiojua kusoma na kuandika ni aibu sana.
Waziri wa elimu aliyepita inafaa awajibike ili liwe fundisho kwa wengine.
View attachment 2393101
Habari ya 2017... enzi za alias Jiwe mtukufu kuhani mkuu KAYAFA!! Acha upuuzi weweKama taifa kuwa na idadi kama hii ya wanafunzi wa kidato cha pili wasiojua kusoma na kuandika ni aibu sana.
Waziri wa elimu aliyepita inafaa awajibike ili liwe fundisho kwa wengine.
View attachment 2393101