Waziri wa Afya: Tanzania sasa ipo katika hatari maradufu ya kupata Ebola

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Sep 20, 2016
1,817
4,058
Waziri wa Afya, ummy mwalimu amesema kufuatia tathimini ya Shirika la Afya duniani ya kusambaa kwa ugonjwa wa Ebola katika nchini jirani ikiwemo Tanzania, Serikali inatoa tahadhari kwa wananchi kuwa tuko katika hatari ya kupata ugonjwa wa Ebola.

Waziri ametoa wito kwa wakuu wa mikoa hasa wa mipakani kuitisha vikao vya Afya msingi na kujadili ni jinsi gani watakavyokuwa tayari kukabiliniana na ugonjwa wa Ebola pindi watakapopata taarifa za uwepo wa Ebola

Waziri pia amesema tukiruhusu kupata mgonjwa hata mmoja tu wa Ebola nchini tutakuwa na hatari ya kila mmoja wetu kuambukizwa ugonjwa huo hatari

 
na itakuja tu..tuendelee tu kuwaletea umwamba wazungu..hapo ikishakuja basi utalii chali,uzalishaji chali..ngoja niondoke kabisa huku bukoba
 
ulafi ni dhambi

wakongo na uroho WA nyama ya popo na nyani kulima wamekuwa wavivu ardhi inarutuba ya kutosha,wazungu waliita afrika bara la giza
 
na itakuja tu..tuendelee tu kuwaletea umwamba wazungu..hapo ikishakuja basi utalii chali,uzalishaji chali..ngoja niondoke kabisa huku bukoba
Dah...ama kweli..uko tayari kukubali hata ukiambiwa ukaubebe ukaulete nchini...na bado........ kama usipokubaliana na ukweli...basi utapata taabu sanaa ....:D:D:D:D:D
 
Back
Top Bottom