Somoche
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 6,151
- 7,007
Inashangaza sana nimeona alivyokua anaongea nikaona kazi ipo...manake suala la financial regulation lina taratibu zake sio siasa tu..ukiendesha bank kwa mihemko ya siasa inakufa tu baada ya siku mbili...mikopo na riba zake ni suala la muda mrefu sana kwa hapa tz..