Afadhali labda ataridhika,shida wale waliomfanyia ultra sound ndio wamemuingiza chaka dada wa watuHabari wanaJamiiForums,
Waziri wa Afya amesema uchunguzi umebaini Mwanamke (Asma Juma) aliyedai kuibiwa mtoto pacha Hospitali ya Temeke, alikua na mimba ya mtoto mmoja.
Alipiga ultra sound ikaonyesha ana mapachaAlijuaje ya kwamba yu na mapacha?
Waliomweleza hivyo ni kina nani na picha walizopiga za Ultra sound huyo bi mkubwa yungali nazo?
Nadhani Ummy na wenzake wanataka kutuaminisha ni vichaa!Yule mama na mme wake siyo vichaa.....
Inawezekana hiyo mashine ilikuwa na mtoto ndani, wajaribu kuipigapiga ataanguka..sasa ile ultra sound walimpa siyo
Mkuu usiseme bila ushahidi, wewe ni mzazi? nikiwa na maana una watoto? mimi bado kidogo niwe muhanga wa hizi ultrasound za uchochoroni, nilimpeleka wife enzi hizo ultrasound. Yule sonographa alikua busy na ishu zake huku anamuhudumia wife, mara akaropoka dah mtoto hana mkono aah nimekosea, yani anaropoka kirahisi rahisi huku yuko na ishu zake, akaona makalio ya mtoto akaropoka tena mapacha hawa damn. Nikammind sana yule sonographa kwa kukosa umakini, wakati natoka nikaenda kwa meneja wa hiyo dispensary. Nikamshauri wife tujibane tu twende hospitali ya ukweli sio ultrasound screen haieleweki. Tuna mtoto mwenye afya tu na wala sio mapacha.kawalinda hao madaktari, manake vibarua vilikuwa vinaota mbawa, kawalinda kwa kweli, lakini kweli duniani hakuna haki, haki ipo mbinguni, hapo washaingiza siasa, aisee, hivi huyu mama ana watoto
Alipiga ultra sound ikaonyesha ana mapacha
Hzo picha inasemekana zimepotea(hospitali)