apolycaripto
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 644
- 225
Ni kiongozi asiyependeka na wanazi wengi wa CDM na amekuwa akiitwa ''pono'' ama ''mnyama wa gombe''.Mimi sipendi kumuita hivyo ila ninachojua ni Waziri aliyeshikiria mapigo ya moyo ya Kikwete kwani inasemekana kuwa huwa atikisiki na taarifa yoyote kama
maandamano,migomo ama kashfa na mara nyingi amekuwa akimtuliza Bwana Mkubwa na kumpa mbinu za uvumilivu.
Huyu ndiye Stephen Wassira , Mlezi wa CCM mkoa wa Arushana bingwa wa kutatua migogoro ndani ya chama kwa njia ya amani (inavyodaiwa).
Tumsikilize kipenzi hiki cha Mkulu.
maandamano,migomo ama kashfa na mara nyingi amekuwa akimtuliza Bwana Mkubwa na kumpa mbinu za uvumilivu.
Huyu ndiye Stephen Wassira , Mlezi wa CCM mkoa wa Arushana bingwa wa kutatua migogoro ndani ya chama kwa njia ya amani (inavyodaiwa).
Tumsikilize kipenzi hiki cha Mkulu.