Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
Mhe. Waziri,
Watumishi wako wana miezi 3 hawajalipwa nauli za kwenda majumbani kwao baada ya kustaafu.
Watumishi wako wana miezi 4 toka wastaafu hawajalipwa Pensheni na mliahidi na Jenister Mhagama kuwa mtarahisisha malipo ya pensheni kuchukua muda mchache sana, pamoja na kujaza fomu zote na kuzipeleka Dodoma miezi 3 kabla ya kuanza likizo ya kustaafu bado hadi sasa pensheni hizo hazijalipwa, baada ya kustaafu hata huo mshahara wa kustaafu haujaanza kuingia.
Mhe. Mawaziri wote Jenister Mhagama na Waziri Simbachawene sio haki kabisa. kaeni kwenye viyoyozi na mnywe chai ya maziwa ila mjue kuna watu wenu wa hali ya chini wanataabika mataani.
Watumishi wako wana miezi 3 hawajalipwa nauli za kwenda majumbani kwao baada ya kustaafu.
Watumishi wako wana miezi 4 toka wastaafu hawajalipwa Pensheni na mliahidi na Jenister Mhagama kuwa mtarahisisha malipo ya pensheni kuchukua muda mchache sana, pamoja na kujaza fomu zote na kuzipeleka Dodoma miezi 3 kabla ya kuanza likizo ya kustaafu bado hadi sasa pensheni hizo hazijalipwa, baada ya kustaafu hata huo mshahara wa kustaafu haujaanza kuingia.
Mhe. Mawaziri wote Jenister Mhagama na Waziri Simbachawene sio haki kabisa. kaeni kwenye viyoyozi na mnywe chai ya maziwa ila mjue kuna watu wenu wa hali ya chini wanataabika mataani.