Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 13,253
- 26,162
Kiongozi gani alirudi nchini bila ndege ya Rais?Ni kama tu mfano umerudi nyumbani bila Gari, wakati uliaga familia yako unaenda nayo Dodomq Kikazi.
Halafu urudi nyumbani kwa Boda boda, Je mke wako hatotaka jibu kuhusu wapi ilipo Gari ya Familia?
Utajibu hivi halafu akae kimya tu?
makuwadi ya dpw.Ufipa st ni kiwanda cha Uzushi!
Ushasema "akiondoka". Subiri basi akiondoka upewe wewe upande uende nayo coco beach ukale mihogo ya kukaanga, au siyo?we ni mjinga sn huna akili, ile ni dhamana kama dhamana zingine, ipo siku naweza kuwa kiongozi, sasa kwanini wasinunue kwa pesa zao? akiondoka madarakani mbona haondoki na hiyo V8?
Mpuuzi wewe India Google alafu andika ziara ya Makamu wa Rais Angola.Hizi huwa ziko maktaba ya picha hivyo hatuwezi kuziamini. Yeye aseme iko wapi watu wakajionee wenyewe
Wajinga sana hawa watu. Unaweza watia makofiKuna kondoo anaefundishika ABC?
We ajuza huna akili, usivyo na akili hapo unawaza uteuzi na wewe na ubibi wote huoUshasema "akiondoka". Subiri basi akiondoka upewe wewe upande uende nayo coco beach ukale mihogo ya kukaanga, au siyo?
Unaishi wapi wewe, Kwenu kuna bahari?
Kwani Google hizo taarifa anaingiza nani? We ni ndunduka kwelikweliMpuuzi wewe India Google alafu andika ziara ya Makamu wa Rais Angola.
Hapa halikati tena nakula satellite dish wala VPN hazinihusu. Hata mkifungiwa mtandao mie napuyanga tu.Leo umepata bando wewe ajuza? wa bibi wenzako wenye akili wapo wanalea wajuu kwa vile wewe huna akili upo hapa kueneza udini
Mpuuzi wewe kwa hiyo hadi picha Makamu wa Rais akipokelewa Angola akiwa anatoka kwenye ndege ya Rais nayo imetengenezwa?Kwani Google hizo taarifa anaingiza nani? We ni ndunduka kwelikweli
Unaishi wapi wewe, Kwenu kuna bahari?We ajuza huna akili, usivyo na akili hapo unawaza uteuzi na wewe na ubibi wote huo
Simba cha wote mwepesi sana ....hoja yake dhaifu sana ....aseme wamelipa kiasi gani ...sio kupuuza ukweli ....sio siasa ni hela za walipa kodi tunatakiwa kujua aache upuuzi wake na utotoWaziri wa Nchi ofisi ya Rais mh Simbachawene amewataka Watanzania kupuuza Uzushi kwamba Ndege ya Rais wa JMT inashikiliwa nchini Dubai
Simbachawene amesema wanaosambaza habari kwamba Ndege ya Rais Gulfstream G 550 inashikiliwa nchini Dubai hawaitakii mema Nchi Yetu
Source: Jambo TV
Chawa umeenda kuvizia free internet mpuuzi mkubwa wewe, nunua bandoHapa halikati tena nakula satellite dish wala VPN hazinihusu. Hata mkifungiwa mtandao mie napuyanga tu.
Kwahio iko wapi??Waziri wa Nchi ofisi ya Rais mh Simbachawene amewataka Watanzania kupuuza Uzushi kwamba Ndege ya Rais wa JMT inashikiliwa nchini Dubai
Simbachawene amesema wanaosambaza habari kwamba Ndege ya Rais Gulfstream G 550 inashikiliwa nchini Dubai hawaitakii mema Nchi Yetu
Source: Jambo TV
Hiyo kesi ilifunguliwa wapi? tunadaiwa shilingi ngapi? tupe ushahidi kwanza?Simba cha wote mwepesi sana ....hoja yake dhaifu sana ....aseme wamelipa kiasi gani ...sio kupuuza ukweli ....sio siasa ni hela za walipa kodi tunatakiwa kujua aache upuuzi wake na utoto
Hawa wasikutie presha, wasomeshe kidogo kidogo, ni mapoyoyo kweli kweli.Wajinga sana hawa watu. Unaweza watia makofi
Bahari inanisaidia nini?Unaishi wapi wewe, Kwenu kuna bahari?
Wengi wako humu kwa nia zao wanazozijua wao. Kuleta mada za uposhajiHawa wasikutie presha, wasomeshe kidogo kidogo, ni mapoyoyo kweli kweli.
Mpuuzi wewe kwa hiyo hadi picha Makamu wa Rais akipokelewa Angola akiwa anatoka kwenye ndege ya Rais nayo imetengenezwa?