Waziri Simba: Tunataka Rais mwanamke

Naona debe la Asha Migiro linazidi kupamba moto.

Mpiga zumari mwenyewe kama ni huyu mama, wametuonyesha jinsi wazivyokuwa makini tangia mwanzo. Mpiga debe asiye makini lazima atatuletea rais asiye makini.
 
............Katika wanawake ambao nadhani wana matatizo makubwa ni huyu mama,mara nyingi uwa hata nikimuona akiongea,au kusikia akiongea uwa nazima TV au Radio,au anajipigia debe yeye awe raisi? wallahi akiwa raisi huyu mama bora niombe uraia wa Somalia.....
 
<strong>............Katika wanawake ambao nadhani wana matatizo makubwa ni huyu mama,mara nyingi uwa hata nikimuona akiongea,au kusikia akiongea uwa nazima TV au Radio,au anajipigia debe yeye awe raisi? wallahi akiwa raisi huyu mama bora niombe uraia wa Somalia.....</strong>
 
<br />
<br />
Migoro for presidency 2015
 
Huyu naye amelewa madaraka anafikiri urais ni kama sherehe za kitchen party

Unamaanisha nini unaposema anafikiri urais ni kama kitchen party..hao unaodhani ni strong wamelelewa na nani? fikiri kabla hujaongea ndugu haikugharimu chochote
 
Nakubaliana hatuhitaji kuchagua rais kwa vigezo vya uanamke au unaume (ambayo tumekua tukifanya for decades uanaume ndo sifa ya kwanza hata kama hatusemi)..tunahitaji mtu mwenye sifa..lakini what's wrong with what she said..kasema ni wakati wa mwanamke kuwa rais..fine wapo wanawake wanaoweza iwe Chadema au ccm au CUF au wapi wakijitokeza wapewe ushirikiano bila kujali ni wanawake.. tuangalie uwezo wao na tuwa;pime kwa kile watakacholeta kama viongozi..
 
Mmmmh...huyu kaanza ujue behind the cartain kuna mkakati! Ila naogopa kama ni yeye mwenyewe anajipigia debe maana pamoja na leo kuamka nywele zangu zote zikiwa nyeusi, hii habari imenizeesha mpaka nimepata mvi upande wa kushoto na katikati...nimezeeka kabla hata hajawa rais. Sijui akiwa raisi itakuwaje
 
<br />
<br /> akiwa raisi mjue wanaume watakosa chakula chao muhimu
 

Simuoni huyo rais mwanamke! Au mnamaanisha Anne Makinda?
 
<br />
<br />

Wanawake GRADUATEs CDM: Suzan Lymo, Halima Mdee, Regia Mtema, Mashishanga, .........
 
kilaza wa aina ya kipekee katika historia ya Tanzania.
Mbona Anna Senkoro akiwa PPT Maendeleo aligombea Urais mwaka 2005 na hatukuona mwanamke yoyote wa ccm akimuunga mkono, kama kweli alidhamiria hiko anachosema leo , alipaswa kuonesha mfano.

huyu mama atakuwa mchumia tumbo tu huyu ...denda linamtoka anajua kati ya wanawake wenye chance ya kukamata madaraka lazima apate shavu...kama sio kweli inabidi ajibiu swali la nguvu mali
 
<br />Sitegemei la maana kutoka kwa mama sophy simba,. Ova!
<br />
 
Huyu mama ni shangingi tu la serikali linalogawa uroda ilimradi abakie madarakani kama waziri, tunaomjua wala hasumbui vichwa vyetu. Kila napotoka kufanya mapenzi ndani ya muda mfupi lazima aropoke ushenzi wake. Ipo siku atakuja kusimulia hata mitindo anayotumia wakati wa kufanya mape...z..... shenzi sana hili jimama!
 
huyu mama atakuwa mchumia tumbo tu huyu ...denda linamtoka anajua kati ya wanawake wenye chance ya kukamata madaraka lazima apate shavu...kama sio kweli inabidi ajibiu swali la nguvu mali

Akipata urais nabadili dini na nahama nchi pia. Teteteeeeeeeee! Tuongozwe na shangingi, haiwezekani!
 
extremely stupid!
Tangu lini jinsia inaongoza? Tumepata nini kwa viti maalum? Spika wa kike, haya tuna nini cha kujivunia toka kwa dada/mama yetu huyu?
Huu upagani wa kutukuza miungu ya kike matriachy system itatumaliza.
Tuangalie uwezo....jinsia haiongozi
 
WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba, amesema angependa kuona mwanamke anakuwa Rais katika moja ya nchi za Afrika Mashariki.

mwanamke awe Raisi bila ya kuzingatia uwezo......la muhimu siyo jinsia ila uwezo wa kutatua kero zetu.......................Liberia wana raisi mwanamke na khali zao hazina mwelekeo.......................na wengi wanajuta kuwa kumbe ni mfuasi wa Taylor..................jambazi.......
 
kilaza wa aina ya kipekee katika historia ya Tanzania.
Mbona Anna Senkoro akiwa PPT Maendeleo aligombea Urais mwaka 2005 na hatukuona mwanamke yoyote wa ccm akimuunga mkono, kama kweli alidhamiria hiko anachosema leo , alipaswa kuonesha mfano.

hahhahahaahahah huyo naye alikuwa na ndoto namkumbuka sana huyu
 
Sasa naweza ku-conclude kwamba huyu mama alikuwa anafurahisha baraza. Hata huyo Asha Rose hampendi. Mwili na roho yake viko kwa Lowassa jamani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…