PreGE2025 Waziri Ndumbaro: Endapo chama hakitaki kushiriki uchaguzi Kuna ulazima gani wa kututangazia? Wamalizane ndani ya chama

PreGE2025 Waziri Ndumbaro: Endapo chama hakitaki kushiriki uchaguzi Kuna ulazima gani wa kututangazia? Wamalizane ndani ya chama

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,564
Reaction score
2,483
Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Damas Ndumbaro amesema kuwa suala la chama kutoshiriki Uchaguzi ni suala binafsi ndani ya Chama husika haipaswi kulazimisha umma kutoshiriki Uchaguzi.

Ndumbaro amesema hayo mbele ya watendaji wa Serikali za Mitaa, Wenyeviti na Wajumbe wa Serikali za Mitaa kutoka kata 21 za Manispaa ya Songea Mjini hivi karibuni wakati wa semina ya Elimu ya Kisheria na Utatuzi wa Migogoro kwa Njia mbadala kupitia Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia.

Soma
 
jadili hoja sio watu
Wewe bila kujadili watu si utakufa! Utaweza sasa? Mtu uliyeitangazia dunia nzima kwamba mbowe ni dictator kwa sababu kakaa muda mrefu. Ukahamia kwenye UGAIDI Wa mbowe. Leo wana chadema wamechagua uongozi wao wewe huyo huyo unataka mbowe akaombwe msamaha. Katika hali ya kawaida utasema AKILI ZINAKUTOSHA WEWE?
Ati jadili hoja siyo watu. Hovyooo
 
Madoktori wa kibongo bana, hivi kuzuia na kususia ni kitu kimoja?
 
Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Damas Ndumbaro amesema kuwa suala la chama kutoshiriki Uchaguzi ni suala binafsi ndani ya Chama husika haipaswi kulazimisha umma kutoshiriki Uchaguzi.

Ndumbaro amesema hayo mbele ya watendaji wa Serikali za Mitaa, Wenyeviti na Wajumbe wa Serikali za Mitaa kutoka kata 21 za Manispaa ya Songea Mjini hivi karibuni wakati wa semina ya Elimu ya Kisheria na Utatuzi wa Migogoro kwa Njia mbadala kupitia Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia.
View attachment 3334503
Soma
Nyie mnaoshiriki kuna haja gani ya kututangazia kuwa mnagawana majimbo na vyama pandikizi si mmalizane kwenye kikao vyenu vya ndani.
 
Back
Top Bottom