Kweli watanzania mlizoea bure ndio maana elimu inakuwa chini kazi yenu kupinga kila jambo jema. Ila ujinga linashabikiwa na kila MTU mwisho tunapata wasomi ******
Tunaish kwa kuangalia na wenzetu wanafanya nini kwa sababu hii ni nchi inayo shirokiana na wengine tatizo kubwa tanzania hatutaki kubadilika ili tuendane na wakati.