ofuuuu Master Peace huyooo, je akija ant peace itakuaje?Acheni mambo ya ajabu, mmeshindwa hata kumkoa, au kumpiga kibao aaa.......? Ina maana amakuja kwa miguu? Kwa nini msingelitia shangingi lake kiberiti? Yaani mnesikitisha sana kwa kumuacha huyo Mbulula aondoke salama.