Yanayotokea kama ni kweli ,sio kitu cha kuchukuliwa kama masihara hapa,pls mtoa mada weka facts ili ututhibitishie hayo madai ambayo jeshi letu linatuhumiwa kufanya hayo mambo ambayo ni ukiukwaji wa kisheria na haki za binadamu,hivi nchi yetu ina ID au wengine wanaita LIFE BOOK?,PLS any family member anaweza kukiweka hapa ili name nikione?halafu why uwe na vitu viwili yaani id na kitambulisho cha kupigia kura,bcs ninachoelewa mimi bila ID huwezi kufanya chochote kile ,kama upigaji kura,kufungua account bank,huduma kwenye mahospitali,polisi,kazi,social grants,elimu etc etc ,naomba nielimishwe hapa.