Nimetukana wapi? Hii sio serikali ya kikwete ni serikali yetu, Kikwete ni mtu mdogo sana kwenye serikali yetu, kama tukiamua hata leo hawezi kuitwa rais tena, kwa hiyo mnapotokea na kutoa maneno ya kufedhehesha namna hii mimi binafsi ninachukia sana.
Ukifuatilia msingi za wanaosema Muhongo anafanywa nini sijui na mafisadi utagundua kwamba wanatembea na hoja ile ile ya Kikwete ni imara ila mawaziri wake ndio wanamuangusha, waziri mzima mambo yaliyo ndani ya mamlaka yake yanahujumiwa vipi na mtu wa namna yoyote ile? Kama ni hujuma wanahujumiana wao kwa wao, ccm wanatuhujumu watanzania, hakuna fisadi asiye mwanaccm nchini hii, kwa kifupi uwezo mzima wa ccm kusimamia serikali umedhoofika sana, hatuhutaji kusikia kisingizio chochote kile, na matusi ni haki yao washenzi hawa.