Waziri Mpango 'ameteleza', asamehewe

they will never listen!!!!
 
CCM kila walipo wao ni kampeni tu kama CCM inapendwa kwanini mpige kampeni kila penye mkusanyiko?
 
Kama kulia lia tu.. wakili leo hukutaka kukosa kupata la kulaumu kama kawaida yako na wenzako humu.

Hasingeyatamka hayo mngesema hata shukurani hawana.

Bajeti tamuuuuuu eeeeh
Tunazidi kupaaaaa

Magufuli oyeee
 
Umeinamishwa? kwani bungeni wote waliopo ni kutokana na vyama? au wewe ni miongoni.mwa.wapumbavu wanaosemwa na Magu?
 
Umeinamishwa? kwani bungeni wote waliopo ni kutokana na vyama? au wewe ni miongoni.mwa.wapumbavu wanaosemwa na Magu?
Hoja na jibu lako yanadhihirisha kiwango chako cha ustaarabu. Asante
 
Hayo maneno yataendelea kusemwa kama yalivyo mpaka kihama labda matumbo yenu yewe yamechanika.
 
Ukikosea umma unapeta ukiikosea serikali ndio unatumbuliwa; JE serikali iko juu ya UMMA wa WATANZANIA?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…