Waziri Mkuu: Mwananchi ukifukuzwa ofisi ya umma, pita ngazi ya juu ili tushikishane adabu

Waziri Mkuu: Mwananchi ukifukuzwa ofisi ya umma, pita ngazi ya juu ili tushikishane adabu

Mwizukulu wa Buganda

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2024
Posts
638
Reaction score
1,771
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Februari 26, 2026 katika uwekaji jiwe la msingi jengo la Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kiteto amezitaka ofisi za umma kutatua kero za wananchi kwa wakati kwani wananchi hawana kimbilio jingine. Ametaka wananchi wanapoenda kupata huduma katika ofisi za umma kuhakikisha wameandika jina na shida iliyompeleka ili kuwepo na uwajibikaji.

 
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Februari 26, 2026 katika uwekaji jiwe la msingi jengo la Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kiteto amezitaka ofisi za umma kutatua kero za wananchi kwa wakati kwani wananchi hawana kimbilio jingine. Ametaka wananchi wanapoenda kupata huduma katika ofisi za umma kuhakikisha wameandika jina na shida iliyompeleka ili kuwepo na uwajibikaji.

well don PM Dr.Mwigulu :KasugaYeah:
 
Huyo sio waziri mkuu, maana ili katiba inasema waziri mkuu atatokana na wabunge wa kuchaguliwa.

Sasa nani alimchagua Madelu?
Mkuu nchi kila siku ndonina3nda hivyohovyo, chadema toka 2010 hivi wao hawatambui rais baada ya uchaguzi, natumaini umenipata vyema
 
Anafanya kazi nzuri Waziri Mkuu.Ajitahidi kumaliza mikoa yote..Nilichokibaini uonezi ni mkubwa kwa wahali ya chini. Nimpongeze huyo mkuu wa wilaya ya Kiteto anajitambua kweli kweli..Nafikiri sasa Waziri Mkuu Dr: Nchemba anaenda kufuta Umungu mtu kwenye taasisi zote na nimeona kuna baadhi ya Wakurugenzi wa Halmashauri wamekuwa waungwana wakati hapo awali viburi viliwajaa..ila kuna wengine bado hawajajua zama zimebadilika najua Waziri Mkuu unabusara sana, lakini hao usiwafumbie macho mpelekee Mama taarifa awashughulikie.Najua Mama ameshatuambia sasa hv hafanyi mabadiliko ya hao Na wengine mara kwa mara labda kiongozi mwenyewe ajichanganye. Mama naye namshauri aendelee na kupitisha panga haijarishi kafanya kazi nzuri wakati huo panga hata la kumuhamisha kiongozi anapokaa sehemu kwa miaka mingi anajitengenezea mifereji mingi.Yapo mengi siwezi kuyamaliza la mwisho Mh, Waziri Mkuu Dr Nchemba pamoja nakufanya kazi nzuri sana usiwaamini waliochini yako kama ni kero imekulenga komalia mpaka uone imetatuliwa liwaje.
 
Back
Top Bottom