johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,146
Waziri mkuu mh Majaliwa amesema wale wanaodhani miradi itakwama wanajidanganya bure kwani miradi yote ya kimkakati itakamilika kwa Wakati
Majaliwa amesema Ujenzi wa Daraja la Kigongo Busisi umefikia.54% na litakamilika April 2024
Miradi mikubwa ya kimkakati ni pamoja na SGR na Bwawa la Umeme la Nyerere
Chanzo: ITV Habari
Majaliwa amesema Ujenzi wa Daraja la Kigongo Busisi umefikia.54% na litakamilika April 2024
Miradi mikubwa ya kimkakati ni pamoja na SGR na Bwawa la Umeme la Nyerere
Chanzo: ITV Habari