Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,361
- 4,816
Katika hafla ya kuanza msimu mpya wa bunge la Uingereza, Malkia Elizabeth atazisoma sheria ambazo serikali ingetaka bunge la Uingereza liliziridhie na atatilia mkazo vipaumbele vya Johnson baada ya ushindi wake katika uchaguzi mkuu wa juma lililopita.
Pamoja na masuala kadhaa na Umoja wa Ulaya kupaswa kufikiwa ifikapo 2020, Johnsonpia anatakiwa kufanikisha taifa lake kujitenga na Umoja wa Ulaya Januari 31 mwaka ujao.