Waziri Mkuu apiga kikombe Samunge

Nimeishia kushangaa tu!!!! Hawa sio viongozi..Kweli serikali yetu unaweza kuiangamiza kwa cku moja
Tuchukulie mfano babu katumiwa na magaidi atege sumu..Inakuwaje hapo?
unajuaje? kama inaozesha mafigo taratibu...baada ya miaka miwili viongozi wote hoi vitandani, hii nchi imechanganyikiwa...
 
Dah..! no wonder maamuzi yanakuwa ya hovyohovyo kumbe wanaofanya maamuzi wote ni wagonjwa na wameoza.. cheki huyo dingi kulia kwa Kandoro..


Mkuu huna haja ya kumwonyeshea kidogo huyo mmoja!

Kwa ujumla wote walioenda na wanaoendelea kwenda Samunge hamnazo,chukua list ya watendaji wa Serikali walioendea samunge/kupata Kikombe alafu angalia na mawazo na Maamuzi yao ya kiutendaji uatapata jibu na huhitaji kuwa Dr elimu ya Darasa la saba inatosha kungamua mapungufu makubwa waliyokuwa nayo.

Lakini hiyo haitoshi Jamii ya Watanzania Wengi wao nao ni walewale!




Ukiongezea na hizi promotion sijui kama tutafika salama.
 
unajuaje? kama inaozesha mafigo taratibu...baada ya miaka miwili viongozi wote hoi vitandani, hii nchi imechanganyikiwa...

Hiyo inawezekana Mkuu Wile GAMBA picha nyingine ninayoipata hapa ni kuhusu mauaji ya Albino.. nani walikua Ma-boss..?? Kama tuna viongozi wa hivi? !!!..
 
Last edited by a moderator:
kumbe safari yote hiyo alikuwa anatafuta njia ya kupata kikombe?
 
Ujue wanaandaa tena hadaaa kwa Watanzania wanataka tusahau kujadili katiba turudi tena Samunge
 
unajuaje? kama inaozesha mafigo taratibu...baada ya miaka miwili viongozi wote hoi vitandani, hii nchi imechanganyikiwa...

Tutawazika tu.. kwenye budget si wameshatenga billion 4 kwa ajili ya mazishi ya viongozi.
 
Huwii lewelelo!
 
Hana lolote...Wanataka kututoa kwenye mziki wa katiba mpya...! Safari hii hatudanganyiki
 
Kisayansi hakuna dawa ambayo inaweza kutibu kila ugonjwa, labda huu ni utafiti mpya. Pia kwa wakristu hakuna muujiza wowote wa kiimani tulioachiwa zaidi ya kuliita jina la Yesu. Tiba ya kikombe kama inavyoelezewa haina basis ya kisayansi wala ya imani ya kikristo.
 
kunywa utapona mh.waziri mkuu.Imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo ni bayana ya mambo yasiyoonekana.
 
Lolianda wonder season 2? Nchi ya ajabu kweli ,tunadanganyika kiasi hiki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…