Huyu mama nilivyokuwa ninamwona ni kama Mwanasiasa sana sana. Ukiangalia level ya elimu yake kwenye web ya Bunge unaelewa kuwa huyu ni Mwanasiasa na ndiyo maana aliwekwa kuongoza Ofisi ambayo ina potifolio nyingi za kisiasa.
Mfano alipokuwa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera,Bunge,Uratibu, Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu) mambo yote hayo yalikuwa yanasimamiwa kisiasa Zaidi angaia mambo ya Sera ni siasa, Bunge ni siasa tu, Uratibu wa shughuli za Serikali ni siasa tupu, ya taarifa za mambo ya kazi na kiajira ni siasa haswa.
Angalia issue ya vijana - yote hiyo ni siasa hutumika kuwahadaa vijana hawa na CCM haitaki kabisa hata ile Sheria ya Baraza la Vijana ifanye kazi. Ukienda kwenye issue ya walemavu - ni suala sensitive ambalo linapaswa siasa sana ndani yake.
Angalia issue ya kikokotoo nalo limekuwa likibebwa kisiasa na huyu Mama ndiyo alikuwa akilisimamia kwa umakini wa hali ya juu kwa kutumia mbinu za kisiasa ili lisije ivuruga CCM na utawala wake.
Sasa amepelekwa Utumishi na Utawala Bora - kwa maana mambo yote ya kiutumishi na utawala ikiwepo Usalama wa Taifa yanakuwa yanaratibiwa na yeye.
Kule alikuwa akishughulika pia na mambo ya Tume ya Uchaguzi na Msajili wa Vyama vya Siasa - huko kote utaalamu ni kama uliachwa pembeni.
Je, mama SSH anataka pia mambo ya kiutumishi na Usalama wa Taifa yaendeshwe kisiasa zaidi? Mama Mhagama ndiyo chanzo cha Utendaji mbaya wa Tume ya Uchaguzi na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Kisiasa kwa sababu yeye maisa yake yote ya utendaji wake hutanguliza siasa mbele. Sasa kama Utumishi wa Umma nao unaenda kuendeshwa kisiasa tutarajie nini mbele?
Kwangu mimi ninaona SSH hakuwa makini kwa kiasi chake kumpeleka huyu mama pale! Hakika! Bora Pindi Chana au Ndalichako wangekuwa pale huyu angebaki kudeal na Sera, Bunge na Uratibu au Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu aendeleze ndoa yake na Mifuko ya Pensheni pia!
Mfano alipokuwa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera,Bunge,Uratibu, Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu) mambo yote hayo yalikuwa yanasimamiwa kisiasa Zaidi angaia mambo ya Sera ni siasa, Bunge ni siasa tu, Uratibu wa shughuli za Serikali ni siasa tupu, ya taarifa za mambo ya kazi na kiajira ni siasa haswa.
Angalia issue ya vijana - yote hiyo ni siasa hutumika kuwahadaa vijana hawa na CCM haitaki kabisa hata ile Sheria ya Baraza la Vijana ifanye kazi. Ukienda kwenye issue ya walemavu - ni suala sensitive ambalo linapaswa siasa sana ndani yake.
Angalia issue ya kikokotoo nalo limekuwa likibebwa kisiasa na huyu Mama ndiyo alikuwa akilisimamia kwa umakini wa hali ya juu kwa kutumia mbinu za kisiasa ili lisije ivuruga CCM na utawala wake.
Sasa amepelekwa Utumishi na Utawala Bora - kwa maana mambo yote ya kiutumishi na utawala ikiwepo Usalama wa Taifa yanakuwa yanaratibiwa na yeye.
Kule alikuwa akishughulika pia na mambo ya Tume ya Uchaguzi na Msajili wa Vyama vya Siasa - huko kote utaalamu ni kama uliachwa pembeni.
Je, mama SSH anataka pia mambo ya kiutumishi na Usalama wa Taifa yaendeshwe kisiasa zaidi? Mama Mhagama ndiyo chanzo cha Utendaji mbaya wa Tume ya Uchaguzi na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Kisiasa kwa sababu yeye maisa yake yote ya utendaji wake hutanguliza siasa mbele. Sasa kama Utumishi wa Umma nao unaenda kuendeshwa kisiasa tutarajie nini mbele?
Kwangu mimi ninaona SSH hakuwa makini kwa kiasi chake kumpeleka huyu mama pale! Hakika! Bora Pindi Chana au Ndalichako wangekuwa pale huyu angebaki kudeal na Sera, Bunge na Uratibu au Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu aendeleze ndoa yake na Mifuko ya Pensheni pia!