gigabyte
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,204
- 5,780
Mawazo ya mtu mmoja unayachukuliaje kwenye wingi.ata hivyo hii ni miaka 60 sasa bado nchi inapambania mambo yale yale aliyoyaacha mkoloni na mengine yameongezeka maradufu,sio kipindi cha Jpm wala cha huyu wa sasa.wote wale wale.Enzi zile si mlikuwa mnapiga madongo kwamba Kalemani hafai kwakuwa ni sukuma Gang na ni poti kwa JPM,, bila kutafakari utendaji wake
Mama kasikiliza kilio chenu kaamua kumuondoa na kumleta asie poti, sasa mnaanza kulialia tena arudishwe
Majuzi nimekutana na jamaa yangu alikuwa hamkubali hata kidogo Magufuli, lakn kanambia wazi kuwa anakiri JPM aliimudu sana hii nchi
Nikamwambia hizo ndio sifa kuu za kuitwa NYUMBU