Waziri Makame Mbarawa akabidhiwa majina 15 ya wafanyakazi wa Bandari wasiojua kusoma na kuandika

R.B

JF-Expert Member
May 10, 2012
6,296
2,575
Waziri Makame Mbarawa akabidhiwa majina 15 ya wafanyakazi wa Bandari wasiojua kusoma na kuandika lakini wanafanya kazi katika idara kama wasimamizi.

Chanzo: Nipashe
 
Hawajui kuandika na kusoma lugha gani? Kiswahili au English? Maana hujafafanua, kwani kuna wengine hawajui kusoma na kuandika English, lakini kwenye Swahili wako poa.
 
Ni nani aliyempa waziri hayo majina? Manager rasilimali watu au ni whistleblower??
Tunaojua "kusona na kuandika" ila hatujuani na watu hapo TPA tulipigwa chini.
 
Waziri Makame Mbarawa akabidhiwa majina 15 ya wafanyakazi wa Bandari wasiojua kusoma na kuandika lakini wanafanya kazi katika idara kama wasimamizi.

Chanzo: Nipashe
Umezidisha kukopi na kupest hadi inatia kinyaa
 
Hawajui kuandika na kusoma lugha gani? Kiswahili au English? Maana hujafafanua, kwani kuna wengine hawajui kusoma na kuandika English, lakini kwenye Swahili wako poa.

Kama wale wa kutunga sheria mjengoni ati!!
 
Hahaha kimenuka! Kuna thread ililetwa hapa kitambo kuhusiana na hili. Kuna Watu wapo Bandari hawakumaliza shule wana kazi inayomfaa mtu mwenye elimu ya degree.
 
Tunashangilia vitu ambavyo vitaumiza familia nyingi sana but let the justice be served
 
Hivi kupitia CV za wafanyakazi si kama kusoma gazeti tu yaani mpaka whistleblowers?
 
Hahaha kimenuka! Kuna thread ililetwa hapa kitambo kuhusiana na hili. Kuna Watu wapo Bandari hawakumaliza shule wana kazi inayomfaa mtu mwenye elimu ya degree.
Miaka ya nyuma kupata kazi bandarini au tbc ilikuwa lazima ushirikishe waganga wa jadi! Wasomi wengi nasikia walikuwa wanakimbia kufanya kazi katika taasisi hizo!
 
Wazee hata makuli nao kiongozi wao lazima ajue kusoma na kuandika
Kabisa anapaswa awe graduate au diploma asiyemakando kando,hivi wajua kama ajasoma wanamfanya punda kwa visenti vidogo vidogo vya mboga na anachia mzigo.Watu sio kwamba awajui wafanyalo,jiulize kwanini kitengo cha askari kiliondolewa wakawekwa walinzi binafsi?.Kama ukiwaza sana utajua ni kwanini watu wanatengeneza loop hole.
 
Hawajui kuandika na kusoma lugha gani? Kiswahili au English? Maana hujafafanua, kwani kuna wengine hawajui kusoma na kuandika English, lakini kwenye Swahili wako poa.
Wanajua kilugha cha pale maeneo ya CHALINZE,kiswahili kidogo na kingereza maneno machache kama ,Yoo! Baby,I love you!Watsupp
 
Back
Top Bottom