Waziri Makamba unaifahamu hujuma hii Dodoma?

digalangosha

JF-Expert Member
Aug 30, 2013
1,554
2,265
Mimi ni miongoni mwa wananchi tunaoishi Dodoma maeneo ya MSALATO utakapojengwa uwanja mpya wa ndege.

Katika maeneo yetu walikuja watu wa Tanesco na kuweka alama baadhi ya maeneo kwa kigezo kuwa wanataka kupitisha njia ya umeme mkubwa hapo. Leo imepita miaka zaidi ya mitatu (3) Tanesco Dodoma wanasema tusiendeleze maeneo yetu lakini tukiwauliza mbona hawaji kuthaminisha maeneo yenyewe, wanatujibu kuwa bado wapo kwenye mchakato kwa miaka mitatu na ushee.

Mh. Najua hii ishu utakua bado hujaambiwa lakini ipo na wananchi wa huku wanataka waje kuandamana. Sasa ya nini kadhia yote hii wakati ni kitu chakuongea tu kama watachukua maeneo tukubaliane au kama wamehairisha waseme pia watu tupimiwe viwanja tuanze kujenga.

Uongozi wa eneo husika hauoneshi jitihada yeyote zaidi ya kuwa madalali wa kuuza viwanja vya watu...

Naomba kuwasilisha
 
Mimi ni miongoni mwa wananchi tunaoishi Dodoma maeneo ya MSALATO utakapojengwa uwanja mpya wa ndege.

Katika maeneo yetu walikuja watu wa Tanesco na kuweka alama baadhi ya maeneo kwa kigezo kuwa wanataka kupitisha njia ya umeme mkubwa hapo. Leo imepita miaka zaidi ya mitatu (3) Tanesco Dodoma wanasema tusiendeleze maeneo yetu lakini tukiwauliza mbona hawaji kuthaminisha maeneo yenyewe, wanatujibu kuwa bado wapo kwenye mchakato kwa miaka mitatu na ushee.

Mh. Najua hii ishu utakua bado hujaambiwa lakini ipo na wananchi wa huku wanataka waje kuandamana. Sasa ya nini kadhia yote hii wakati ni kitu chakuongea tu kama watachukua maeneo tukubaliane au kama wamehairisha waseme pia watu tupimiwe viwanja tuanze kujenga.

Uongozi wa eneo husika hauoneshi jitihada yeyote zaidi ya kuwa madalali wa kuuza viwanja vya watu...

Naomba kuwasilisha
Tafadhali onesha jina na namba ya simu kwa ufatiliaji na mrejesho
 
Eneo husika bado hatua za udhaminishaji hazijakamilika hivyo tuwaombe uvumilivu wenu hakuna mtu atayekosa haki yake
Sasa wawe wavumilivu kwa miaka mingapi mingine?wewe hapo kazini kwako ukiambiwa vumilia kwa miezi miwili mshahara wako utaweza kuvumilia?mbona majibu hayaendani na majibu kwa wana Msalato?
 
Leo imepita miaka zaidi ya mitatu (3) Tanesco Dodoma wanasema tusiendeleze maeneo yetu lakini tukiwauliza mbona hawaji kuthaminisha maeneo yenyewe, wanatujibu kuwa bado wapo kwenye mchakato kwa miaka mitatu na ushee.
Wewe upo Dodoma, hivi mpaka leo hujui kuwa kadri mvinyo unavyokaa sana store ndivyo value yake na ubora wake unaongezeka!? Kwanini unataka kunywa mvinyo uliosindikwa leoleo!?
 
Hapa kuna ukosefu wa weledi kwenye PR. This is social media bwana!
Waliopewa hii kazi wanashindwa hata kuelewa wapo kwenye forum ipi? Unakuwa whistle blower, yeye anakwambia weka details hadharani kwa ufuatiliaji zaidi.

Sasa miaka 3, bado unatoa majibu mepesi hivyo kana kwamba wamelazimishwa kujibu, wakae kimya kuliko kujimwambafy, yaani hapo keshafuatilia idara husika na kupata majibu na kuja huku kutoa majibu, wanakera sana hawa, kazi za kupeana kimchongo mchongo tu, matokea yake ndo hayo.
 
Mimi ni miongoni mwa wananchi tunaoishi Dodoma maeneo ya MSALATO utakapojengwa uwanja mpya wa ndege.

Katika maeneo yetu walikuja watu wa Tanesco na kuweka alama baadhi ya maeneo kwa kigezo kuwa wanataka kupitisha njia ya umeme mkubwa hapo. Leo imepita miaka zaidi ya mitatu (3) Tanesco Dodoma wanasema tusiendeleze maeneo yetu lakini tukiwauliza mbona hawaji kuthaminisha maeneo yenyewe, wanatujibu kuwa bado wapo kwenye mchakato kwa miaka mitatu na ushee.

Mh. Najua hii ishu utakua bado hujaambiwa lakini ipo na wananchi wa huku wanataka waje kuandamana. Sasa ya nini kadhia yote hii wakati ni kitu chakuongea tu kama watachukua maeneo tukubaliane au kama wamehairisha waseme pia watu tupimiwe viwanja tuanze kujenga.

Uongozi wa eneo husika hauoneshi jitihada yeyote zaidi ya kuwa madalali wa kuuza viwanja vya watu...

Naomba kuwasilisha
Raisi magufuli ulaaniwe huko ulipo.
Wewe ulifanya mifumo ya serikali isifanye kazi. Kila mtu alikuja kukuona wewe kama suluhisho la matatizo yake akijiita mnyonge wakati vyombo husika vipo. Kama huyu
 
Back
Top Bottom