Waziri Makamba pigia kampeni mkaa wa mawe na siyo gesi ya Rostam Aziz

voicer

JF-Expert Member
Jul 13, 2020
5,553
11,885
Makamba! Muunge mkono Waziri Mwenzio Biteko na "Mkaa wa Mawe" badala ya Rostam na "Taifa Gas"

Hapo chini ni taarifa ya serikali!

11,Aug,2022.

"Dkt. Biteko amesema STAMICO imeagiza mitambo mipya 11 kwa ajili ya uchorongaji na mitambo 4 kwa ajili ya kuzalisha makaa ya mawe ili kuongeza uzalishaji wa makaa hayo na kukidhi mahitaji ya watanzania ambapo mitambo hiyo itasimikwa jijini Dodoma, Songwe, Pwani na Kanda ya Ziwa."

"Naye, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa STAMICO Dkt. Venance Mwasse amesema, Shirika hilo lina mkakati wa kuhakikisha kunakuwa na uzalishaji wa kutosha ili kukidhi mahitaji ya watanzania ambapo limeagiza mitambo miwili yenye uwezo wa kuzalisha tani 20 za makaa hayo kwa saa.'

"Dkt. Mwasse amesema, mradi huo unatarajia kuwanufaisha watanzania kwa kutoa ajira na utapunguza janga la ukataji miti kwa ajili ya mkaa hivyo kuchangia kutunza mazingira'.

"Dkt. Mwasse amesema STAMICO imeanza kusambaza nishati hiyo ambayo ni nafuu zaidi na rafiki kwa mazingira baada ya kuidhinishwa na Shirika la Viwango la Taifa (TBS) tayari kwa matumizi baada ya uzalishaji wa majaribio kufanyika kwa ufanisi."

Prince Makamba unatupeleka Shimoni.

Alamsikhi!
 
Huyu mtu anapeleka mitungi ya gesi kijijini, sijui ni asilimia ngapi wana uwezo wa kujaza hiyo mitungi mbali na upatikanaji wake, sijui kama anaelewa anachokifanya.....bora umempa haya madini kuhusu mkaa wa mawe.
Ni kwamba anajua kabisa hilo jambo,ila tu wao wana mradi wao na makubaliano ya kusaidiana kuikamata Ikulu 2030 ....akusaidiwa na Huyo fisadi.
 
Huyu mtu anapeleka mitungi ya gesi kijijini, sijui ni asilimia ngapi wana uwezo wa kujaza hiyo mitungi mbali na upatikanaji wake, sijui kama anaelewa anachokifanya.....bora umempa haya madini kuhusu mkaa wa mawe.
Wewe hayo makaa ya mawe unayajua? %kubwa ya vijiji majiko ya gesi wanajua na baadhi wanayatumia badala yakulalamika bei ya gesi ipungue mnalalamika nani mmiliki wa gesi
 
Mkaa ndio mkombozi wa mwananchi kwa sababu unafika hadi vijijini,na hauhitaji gharama za kunua mitumgi ya gesi.
Kama Rostam Azizi atatoa mitungi bure tuchangamkie, tusife na tai zetu shingoni huo uzezeta.
Lakini wagawe kwa Wananchi wote sio kwa wanaccm tu.
 
Sioni tatizo yote yakifanyika kwa pamoja maana tunahitaji nishati zote, nafikiri wengi hawana uwezo na gesi lakini na sio wote wanataka kutumia makaa ya mawe, tuache siasa kwenye hili
 
Wewe hayo makaa ya mawe unayajua? %kubwa ya vijiji majiko ya gesi wanajua na baadhi wanayatumia badala yakulalamika bei ya gesi ipungue mnalalamika nani mmiliki wa gesi
Wa kuipunguza bei hiyo gesi ni nani? kuna nyakati bidhaa zimewahi kupungua bei hapa bongolala?
 
Wewe hayo makaa ya mawe unayajua? %kubwa ya vijiji majiko ya gesi wanajua na baadhi wanayatumia badala yakulalamika bei ya gesi ipungue mnalalamika nani mmiliki wa gesi
Anahisi makaa ya mawe ataweza kupikia
 
Wa kuipunguza bei hiyo gesi ni nani? kuna nyakati bidhaa zimewahi kupungua bei hapa bongolala?
Msamehe bure,maana kuna watu humu huamua kuandika ilimradi tu amechangia...

Hii hapa nukuu ya serikali.

"Naye, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa STAMICO Dkt. Venance Mwasse amesema, Shirika hilo lina mkakati wa kuhakikisha kunakuwa na uzalishaji wa kutosha ili kukidhi mahitaji ya watanzania ambapo limeagiza mitambo miwili yenye uwezo wa kuzalisha tani 20 za makaa hayo kwa saa.'
 
Anahisi makaa ya mawe ataweza kupikia
"Naye, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa STAMICO Dkt. Venance Mwasse amesema, Shirika hilo lina mkakati wa kuhakikisha kunakuwa na uzalishaji wa kutosha ili kukidhi mahitaji ya watanzania ambapo limeagiza mitambo miwili yenye uwezo wa kuzalisha tani 20 za makaa hayo kwa saa.'
 
Makamba! Muunge mkono Waziri Mwenzio Biteko na "Mkaa wa Mawe" badala ya Rostam na "Taifa Gas"

Hapo chini ni taarifa ya serikali!

11,Aug,2022.
"Dkt. Biteko amesema STAMICO imeagiza mitambo mipya 11 kwa ajili ya uchorongaji na mitambo 4 kwa ajili ya kuzalisha makaa ya mawe ili kuongeza uzalishaji wa makaa hayo na kukidhi mahitaji ya watanzania ambapo mitambo hiyo itasimikwa jijini Dodoma, Songwe, Pwani na Kanda ya Ziwa."

"Naye, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa STAMICO Dkt. Venance Mwasse amesema, Shirika hilo lina mkakati wa kuhakikisha kunakuwa na uzalishaji wa kutosha ili kukidhi mahitaji ya watanzania ambapo limeagiza mitambo miwili yenye uwezo wa kuzalisha tani 20 za makaa hayo kwa saa.'

"Dkt. Mwasse amesema, mradi huo unatarajia kuwanufaisha watanzania kwa kutoa ajira na utapunguza janga la ukataji miti kwa ajili ya mkaa hivyo kuchangia kutunza mazingira'.

"Dkt. Mwasse amesema STAMICO imeanza kusambaza nishati hiyo ambayo ni nafuu zaidi na rafiki kwa mazingira baada ya kuidhinishwa na Shirika la Viwango la Taifa (TBS) tayari kwa matumizi baada ya uzalishaji wa majaribio kufanyika kwa ufanisi."

....Prince Makamba unatupeleka Shimoni.

Alamsikhi!
Pia angehakikisha mradi wa Gesi ya Kupikia Majumbani ambao TPDC imeuanza Maeneo mbalimbali ya Dar es salaam ikiwemo Police Ufundi Kirwa Road unakwisha na kuanza kazi kuokoa misitu ya Kisarawe na Kibiti. Na kuanzisha Miradi ya Bio Gas mikoani hasa kwa watumiaji wakubwa wa nishati kupikia kama mighawa ,mashule ,magereza na pamoja na kupeleka Gesi asilia Mikoa ya Dodoma,Tanga, Kilimanjaro na Arusha at Cheap coast and affordable to end users using VIRTUAL PIPELINE TECHNOLOGY! hii LPG gas aanzee uhamasishaji wakati kiwanda cha LPG cha Mtwara kitakapoanza kazi. Haiingii akilini Makamba kuipigia debe imported Gas , Wakati mpaka sasa sijamsikia akipromote our CNG na Wala akuna Oil and Gas Master Plan - Kama waziri mwenye zamana ya Tanzania Oil and Gas alitakiwa atupe walau 10 yrs Tanzania Oil and Gas Master plan na pia ahamasishe matumizi ya CNG ya Mtwara ili tuweze lipa Deni la Mchina aliyejenga Hizo CNG pipelines kwani Mkopo unaendelea zaa interests na matumizi ya Ges Todate sio yenye kuzalisha pesa na faidia kwa maendeleo ya Taifa na Malipo ya deni.Ajikite huko kwani kama mimi ningekuwa yeye ningehakikisha Gesi ya Mtwara inauzika sana na ata Kenya, Uganda , Congo n.k inafika kwa Virtual Pipeline Technology na kuzalisha Mbole a na plastics (Tanzania inatumia billions ngapi kuimport malighafi za kuzalisha chupa za plastic za maji tu??) bado vyombo vingine vya plastics!!! Now days China wana viwanda kwenye Containers za 20 and 40Ft za kuzalisha mbole au plastics raw materials . MAKAMBA UKWELI SIJUI UNATUPELEKA WAPI KWA WEWE KUPROMOTE IMPORTED LPG Na Kuacha Ges ya Mtwara ambayo ingeongeza mapato na kusaidia lipa Deni la ujenzi wa Bomba la Gesi! Mama Samia ana Imani na Wewe ndo maana amekupa Dhamana kwa kukuchaguwa umsaidie kwenye Nishati ikiwemo Oil and Gas lakini Ukweli Unaujua mwenyewe! Nini unakifanya na iwapo haya unayoyafanya yana jenga Tanzania au la😀 Yes It Can Be Done- Just Play Your Part - JK Nyerere
 
Pia angehakikisha mradi wa Gesi ya Kupikia Majumbani ambao TPDC imeuanza Maeneo mbalimbali ya Dar es salaam ikiwemo Police Ufundi Kirwa Road unakwisha na kuanza kazi kuokoa misitu ya Kisarawe na Kibiti. Na kuanzisha Miradi ya Bio Gas mikoani hasa kwa watumiaji wakubwa wa nishati kupikia kama mighawa ,mashule ,magereza na pamoja na kupeleka Gesi asilia Mikoa ya Dodoma,Tanga, Kilimanjaro na Arusha at Cheap coast and affordable to end users using VIRTUAL PIPELINE TECHNOLOGY! hii LPG gas aanzee uhamasishaji wakati kiwanda cha LPG cha Mtwara kitakapoanza kazi. Haiingii akilini Makamba kuipigia debe imported Gas , Wakati mpaka sasa sijamsikia akipromote our CNG na Wala akuna Oil and Gas Master Plan - Kama waziri mwenye zamana ya Tanzania Oil and Gas alitakiwa atupe walau 10 yrs Tanzania Oil and Gas Master plan na pia ahamasishe matumizi ya CNG ya Mtwara ili tuweze lipa Deni la Mchina aliyejenga Hizo CNG pipelines kwani Mkopo unaendelea zaa interests na matumizi ya Ges Todate sio yenye kuzalisha pesa na faidia kwa maendeleo ya Taifa na Malipo ya deni.Ajikite huko kwani kama mimi ningekuwa yeye ningehakikisha Gesi ya Mtwara inauzika sana na ata Kenya, Uganda , Congo n.k inafika kwa Virtual Pipeline Technology na kuzalisha Mbole a na plastics (Tanzania inatumia billions ngapi kuimport malighafi za kuzalisha chupa za plastic za maji tu??) bado vyombo vingine vya plastics!!! Now days China wana viwanda kwenye Containers za 20 and 40Ft za kuzalisha mbole au plastics raw materials . MAKAMBA UKWELI SIJUI UNATUPELEKA WAPI KWA WEWE KUPROMOTE IMPORTED LPG Na Kuacha Ges ya Mtwara ambayo ingeongeza mapato na kusaidia lipa Deni la ujenzi wa Bomba la Gesi! Mama Samia ana Imani na Wewe ndo maana amekupa Dhamana kwa kukuchaguwa umsaidie kwenye Nishati ikiwemo Oil and Gas lakini Ukweli Unaujua mwenyewe! Nini unakifanya na iwapo haya unayoyafanya yana jenga Tanzania au la Yes It Can Be Done- Just Play Your Part - JK Nyerere
Hizo zoote ni plan "B" lakini bado mkaa wa mawe unabaki kuwa plan "A"

Makamba haupigii debe sababu hautakuwa na 10% tofauti na gesi ya Huyu muajemi.
 
Back
Top Bottom