kama wajeruman waliweka mipaka na kuonyesha ziwa liko Malawi na waingereza nao waView attachment 866818
View attachment 866815
Ubalozi wa Ujerumani nchini, umebandika ukutani, Ramani ya Tanzania inayoonyesha Ziwa Nyasa likiwa ndani ya Mipaka ya Malawi badala ya Mpaka wa Tanzania na Malawi kuwa katikati ya Ziwa.
Ujerumani ndiyo Mtawala wa kwanza wa Tanzania, kipindi hicho ikiitwa German East Africa (DOAG), kupitia Mkataba wa 1886 (Anglo-German Agreement) ulioweka Mipaka ya ukanda wa Pwani na Kenya, kabla ya Mkataba wa 1890 (Helgoland Treaty) kumalizia kuweka mipaka ya Uganda, DRC, Zambia (Rhodesia), Malawi (Nyasaland) na Msumbiji (Mozambique). Helgoland Treaty ndiyo ililiweka Ziwa Nyasa kwa Wamalawi.
Hata hivyo, baada ya Waingereza kuiweka Tanganyika Territory chini ya Trusteeship, alijikuta akitawala Malawi na Tanganyika na hapo ndipo walipobadili Mpaka na kuuweka katikati ya Ziwa Nyasa.
View attachment 866825View attachment 866826
Anyway, siko hapa kurefusha mada hii, muhimu ni lazima marafiki wa Tanzania, i.e. wote wenye Ubalozi hapa Tanzania, wahakikishe Ramani zinazoonekana kwenye Ofisi zao ni zile zinazotolewa ama kukubaliwa na Tanzania na si mwingine yeyote.
So, Waziri wa Mambo ya Nje, Augustine Maiga shughulikia haraka suala hilo.
https://cdn.auckland.ac.nz/assets/humanrights/Research/MalawiTanzania-NZCHRLPP-final.pdf
View attachment 866814
Ramani ya Tanzania.
Wewe si Mtanzania naona unawashwawashwa. Oohh no, hapo ndo kipimo cha elimu yako. Unalinganisha demokrasia (mambo ya ndani) na national interest? Elimu yako ni duni sana kulinganisha hivi vitu viwili. Halafu itokee Malawi atuvamie utaenda kupigana kweli? Mtataka Tanzania ishindwe kwa kuwa kuna mtawala hamumtaki? You're a failure.Majungu mengine ya kimaku mnamchukia possible hapo mnaanza kuleta fitna mbona makubwa kama ya jiwe anavovunja katiba na kunyayasa watu hamusemi shut hole
Wewe ni lini utakuwa mjuzi?Ngoja waje wajuz wa mambo
KeshoWewe ni lini utakuwa mjuzi?
Usikalie burnsen burner utaungua mkuu..maana siti ya kwa dereva ya moto.Kesho
Mkuu bahati mbaya umeichelewa!Usikalie burnsen burner utaungua mkuu..maana siti ya kwa dereva ya moto.
Mnapobagua jambo lipi liongelewe lipi liachwe huwa nashindwa kuwaelewa Lumumba heroes.Wewe si Mtanzania naona unawashwawashwa. Oohh no, hapo ndo kipimo cha elimu yako. Unalinganisha demokrasia (mambo ya ndani) na national interest? Elimu yako ni duni sana kulinganisha hivi vitu viwili. Halafu itokee Malawi atuvamie utaenda kupigana kweli? Mtataka Tanzania ishindwe kwa kuwa kuna mtawala hamumtaki? You're a failure.
HahahaMkuu bahati mbaya umeichelewa!