Tumbo Tumbo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 1,278
- 1,556
Wakuu Atimae Mkatisha Kodi Mkuu TRA nae anadaiwa Kodi na WaKatisha Kodi Wenzake 





Kweli muosha huoshwa hadi TRA naye anadaiwa kodiLukuvi is the next president



Hapana awamu ijayo awe muislam angalau mambo yaende sawa mtaani.Lukuvi is the next president
Lukuvi is the next president
Hadithia stori nzima basi mkuuKweli muosha huoshwa hadi TRA naye anadaiwa kodi![]()
Hadithia stori nzima basi mkuu
Shiii ishia hapo hapo usiwataje JWTZWizara Ya Ardhi Imetoa Orodha Mpya Ya Taasisi Umma N Taasisi Binafsi Zinazodaiwa Kodi, Wamo TRa(Wakatisha Kodi Maarufu) wamo BOT, Wamo Dawasa, Wamo St. Augustine, Mzumbe University nk
Unamaanisha awamu ijayo tuwe chini ya utawala waabuduo shetani aitwae Alah au hubal...good idea let's waitHapana awamu ijayo awe muislam angalau mambo yaende sawa mtaani.
Hapana,Lukuvi is the next president
Lukuvi is the next president
Na wewe utajwe maana tunajua janja yako ya kukwepa kulipa kodi ili Serkali ijenge SGR na Stieglers Gorge.Shiii ishia hapo hapo usiwataje JWTZ
Sio ivo mkuu embu jaribu kutasmini tawala za wakristo tz huwa tunakuwa na maisha magumu kwel.Unamaanisha awamu ijayo tuwe chini ya utawala waabuduo shetani aitwae Alah au hubal...good idea let's wait
lukuviKumdai mtu kulipa kodi nalo ni jambo la ajabu ? Kwa hiyo ndio sifa ya kuwa Rais,Vipi ile kesi aliyoshinda ya kutaka kupewa Rushwa?Lukuvi is the next president
Hahahaa..... Mngeacha tupate maendeleo kwanza ndio muombe zamu hii kasi iliyoanzishwa inahitaji Mgalatia kuiendeleza!Hapana awamu ijayo awe muislam angalau mambo yaende sawa mtaani.