Waziri kumhoji Waziri mwenzake bungeni

Waziri kumhoji Waziri mwenzake bungeni

Mwanyasi

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2010
Posts
7,955
Reaction score
7,111
Wadau, hivi kanuni zinaruhusu kwa waziri kumhoji mwenzake? Leo waziri wa naibu viwanda na Biashara kasimama na kumuuliza Waziri wa ujenzi juu ya mpango wa ujenzi wa barabara.

Cha ajabu Magufuli kasema itajengwa wakati haijapangiwa fedha.
 
The doctrine of ministerial collectivity hairuhusiwi aisee basi mnara wa babeli unashuka...

Hata mimi naamini hiyo ya ministerial collectivity, lakini kinyume chake. Waziri kauliza halafu kajibiwa itajengwa haraka sana wakati haitengewa hata fedha.
 
Wadau, hivi kanuni zinaruhusu kwa waziri kumhoji mwenzake? Leo waziri wa naibu viwanda na Biashara kasimama na kumuuliza Waziri wa ujenzi juu ya mpango wa ujenzi wa barabara.

Cha ajabu Magufuli kasema itajengwa wakati haijapangiwa fedha.

Tupia clip hapa tusikie!!!isiwe mbuzi kwenye gunia!!!JF is all about facts and figures!!
 
Sijarekodi, lakini naitafuta kwa rejea yetu. Lakini unalionaje? (whether limetokea au hallijatokea)

Wenzio wenye issue kubwa kama hii ya kutaka kurekebisha mambo hasa kwa hawa viongozi wanakuja na facts za kuweka uhalali na uzito wa hoja kuliko maneno tu inatia shaka!
 
Hii inadhihirisha kuwa. Hakuna vikao vya. Baraza mawaziri wakaulizana.
 
Naibu waziri hakusimama kuuliza, ila alichangia kwa maandishi, jambo ambalo linaruhusiwa, labda kosa ni kuchangia kwa mfumo wa swali
 
wadau, hivi kanuni zinaruhusu kwa waziri kumhoji mwenzake? Leo waziri wa naibu viwanda na biashara kasimama na kumuuliza waziri wa ujenzi juu ya mpango wa ujenzi wa barabara.

Cha ajabu magufuli kasema itajengwa wakati haijapangiwa fedha.

mleta post anasumbuliwa na shule ndogo.
 
Ukitaka kuficha pesa, mahali salama ni kwenye kitabu. Pia ukweli hutafutwa.
 
Back
Top Bottom