Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Mkitaka Watalii wafurike Tanzania wekezeni kwenye Fukwe, matamasha kama vile Sauti za Busara Unguja na vitu kama hivyo hizo Mbuga ni kiduchu sana, watu wa first World wanapiga kazi mwaka mzima kisha anataka kukwea pipa kwenda kuondoa stress ufukweni kuogelea, kurelax na totos na kufurahia maisha, hakuna kijana wa Kizungu au Japani anataka kuja kuona Simba au sijui Twiga Ngorongoro.
Hivyo mkitaka Watalii wa kufa mtu achaneni na ujinga wa Serengeti sijui Katavi kamateni fukwe kuanzia za Bahari hadi Maziwa makuu tengenezeni Matamasha kajifunzeni Zanzibar, BTW > 60% ya Watalii wanaokuja TZ wanakwenda Zanzibar na siyo Katavi, au Ngorongoro, ...
Hivyo mkitaka Watalii wa kufa mtu achaneni na ujinga wa Serengeti sijui Katavi kamateni fukwe kuanzia za Bahari hadi Maziwa makuu tengenezeni Matamasha kajifunzeni Zanzibar, BTW > 60% ya Watalii wanaokuja TZ wanakwenda Zanzibar na siyo Katavi, au Ngorongoro, ...
Sauti za Busara – 9 – 11 February 2024
www.busaramusic.org