Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,499
Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo, amesema kuwa tafiti zilizofanywa zimebaini uwepo wa mashaka ya rushwa, hali inayosababishwa na baadhi ya watendaji wasiowaaminifu.
Akizungumza kupitia Clouds FM kuhusu suala la Wawekezaji wa Kigeni nchini, Dkt. Jafo alieleza kuwa
"Kwa mujibu wa tafiti yetu ambayo kazi iliyokwenda kufanyika ilionekana kuna hali wakati mwingine hasa, watu wetu wamezungumza kwamba kuna mashaka ya rushwa. Inaonekana baadhi ya watendaji si waaminifu ambao wanasababisha hiyo hali imefikia hapo"
Soma, Pia: Waziri Suleiman Jafo aiagiza idara ya uhamiaji kuanza mara moja operesheni maalum ya kuwaondoa wafanyabiashara haramu wa kigeni Kariakoo
Akizungumza kupitia Clouds FM kuhusu suala la Wawekezaji wa Kigeni nchini, Dkt. Jafo alieleza kuwa
"Kwa mujibu wa tafiti yetu ambayo kazi iliyokwenda kufanyika ilionekana kuna hali wakati mwingine hasa, watu wetu wamezungumza kwamba kuna mashaka ya rushwa. Inaonekana baadhi ya watendaji si waaminifu ambao wanasababisha hiyo hali imefikia hapo"