Waziri Hamza: Mapato ya Muungano ukitoa matumizi kinachobaki ndio Tugawane Zanzibar na Bara na siyo hii 4.5% tunayopata sasa!

Huyo waziri hafahamu alisemalo, ana kurupuka na kuhororoja bila uelewa.

Tanzania toka lini mapato yanabaki (surplus)?

Bajeti yenyewe mpaka leo miaka zaidi ya 60 baada ya Uhuru bado tunasaidiwa bajeti yetu.
Mama huenda wewe huelewi lisemwalo na huyo waziri. Pitia tena alichosema huenda utaambulia chochote.
 
Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar mh Hamza amesema ndani ya miezi 6 kikokotoo cha Mapato ya Muungano kinaweza kubadilika kufuatia mazungumzo yanayoendelea Kati ya Serikal ya JMT na SMZ

Hamza amesema kwa sasa Zanzibar inapata 4.5% ya Mapato ya Muungano kitu ambacho siyo sahihi kabisa

Hamza amesema kimsingi inatakiwa Uchukue Mapato ya Muungano Utoe Matumizi ya Muungano na kinachobaki yaani Salio ndio ligawanywe kwa Zanzibar na Bara

Source ITV Dakika 45
Anaumwa huyo😅
 
Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar mh Hamza amesema ndani ya miezi 6 kikokotoo cha Mapato ya Muungano kinaweza kubadilika kufuatia mazungumzo yanayoendelea Kati ya Serikal ya JMT na SMZ

Hamza amesema kwa sasa Zanzibar inapata 4.5% ya Mapato ya Muungano kitu ambacho siyo sahihi kabisa

Hamza amesema kimsingi inatakiwa Uchukue Mapato ya Muungano Utoe Matumizi ya Muungano na kinachobaki yaani Salio ndio ligawanywe kwa Zanzibar na Bara

Source ITV Dakika 45
Muungano una vutega uchumi gani bwashe?! Mapato ya Muungano?!
 
TRA ni ya Muungano
TRA haikusanyo kutoka kwenye vyanzo vya wizara zilizo chini ya Muungano tuu?! Inakusanya mapato pia kutoka vyanzo ambavyo havipo chini ya Wizara zilizopo chini ya Muungano?! Watatenganishaje?! Hatutaki huu ulaghai wa washirazi.
 
Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar mh Hamza amesema ndani ya miezi 6 kikokotoo cha Mapato ya Muungano kinaweza kubadilika kufuatia mazungumzo yanayoendelea Kati ya Serikal ya JMT na SMZ

Hamza amesema kwa sasa Zanzibar inapata 4.5% ya Mapato ya Muungano kitu ambacho siyo sahihi kabisa

Hamza amesema kimsingi inatakiwa Uchukue Mapato ya Muungano Utoe Matumizi ya Muungano na kinachobaki yaani Salio ndio ligawanywe kwa Zanzibar na Bara

Source ITV Dakika 45
Wao wamechangia nini kwenye hayo mapato!.Watu wa Pwani upeo wao huwa ni mdogo sana,kazi kupiga majungu na umbea.
 
Huyu Mama asipoangalia Muungano utamfia kwenye mikono yake.... Hii inanikumbusha Story ya Ngamia, Binadamu na Hema....

Give them a Yard they take a Mile.....

 
hatuondoki na sio ndio tunao tawala saivi mbuzi millioni 60 wanaongozwa na mbwa mwitu milioni moja.
Mnaongozwa na JK kutoka Msoga au mnaongoza!
Yaani kwa akili zenu nyie Wazenji mnaweza kuwaingizia watu wa Bara kweli.Nchi yenu yenyewe tumewapindulia sisi na tukaweka mtawala wetu na alipoleta habari zake aliipata fresh,akaja Jumbe na yeye alipoleta ngebe,akapumzishwa Kigamboni pale.
Ata uyu Bibi yenu ni suala la muda tu!
 
Kama wewe ni mZanzibari, na unaacha fursa hizi za kuitawala na kuneemeka kwa mgongo wa Tanganyika kama ilivyo sasa halafu unaendelea kulialia tuu na Nyerere, wewe utabaki kuwa duni hivyo hivyo milele.

Acha wenye akili toka huko Zanzibar wafaidi matunda, wewe baki ukilialia na kulaumu wasiokuwepo na hutaambulia chochote.

Njoo huku Zanzibar uione hali hiyo unayosema ni neema, Utalia machozi

Watu karibu watakuwa Kama wafuasi wa Mackenzie kufunga maisha , kwani kuupata mlo mmoja kwa siku ni Kama umeokota almasi
 
Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar mh Hamza amesema ndani ya miezi 6 kikokotoo cha Mapato ya Muungano kinaweza kubadilika kufuatia mazungumzo yanayoendelea Kati ya Serikal ya JMT na SMZ

Hamza amesema kwa sasa Zanzibar inapata 4.5% ya Mapato ya Muungano kitu ambacho siyo sahihi kabisa

Hamza amesema kimsingi inatakiwa Uchukue Mapato ya Muungano Utoe Matumizi ya Muungano na kinachobaki yaani Salio ndio ligawanywe kwa Zanzibar na Bara

Source ITV Dakika 45
Hebu ngoja kwanza.

Mkuu 'Johnthebabtis sijui kama serikali ya umoja iliyoundwa inaruhusu mtu toka ACYWazalendo kutumika kwenye wizara ambayo ipo chini ya CCM.
t' Naomba msaada wako au wa mchangiaji mwingine juu ya mada hii hasa kumhusu huyu Waziri.
Nijuavyo mimi,(huenda siko sahihi) ni kwamba Ofisi ya Makamu wa Pili huko Zanzibar ipo chini ya uongozi wa mtu toka CCM, au siyo. Yule Makamu wa Kwanza ndiko walipo ACTWazalendo (CUF); pili', kama mtu wa ACTWazalendo anaweza kuteuliwa na CCM kushika nafasi yoyote inayoongozwa na Waziri wa CCM.
Maana yangu ya kuuliza haya ni kuondoa mashaka yangu juu ya huyu Waziri, kujua kuwa yeye ni mtu wa ACT itasaidia zaidi kuelewa anayoyazungumzia huyu Waziri kwa sasa.


Baada ya kutafakari, imenibidi kuwa na mashaka juu ya huyu Waziri kuhusu haya mambo anayoyashikia bango wakati huu.
Imenilazimu kufikia uamzi wa kwamba huyu Bwana anafanya kazi aliyotumwa kuifanya. Haya siyo mawazo yake pekee. Inawezekana sana kwamba kwenye vikao vyao huko kama serikali, wameamua kutumia muda huu wa wao kuwa madarakani kotekote kusukuma ajenda hizi wakijua uamzi ni wao kwa vile huku kwenye upande wa pili sasa hivi hakuna mwenye sauti ya kupinga

Kwa hiyo, mimi ninamwona huyu waziri kwamba kapewa jukumu kuwasilisha jambo ikiwa ni mkakati wa walio madarakani.
 
Hawa nje ya Muungano watachinjana sana maana Wana visasi vya muda mrefu.Na wakiachiwa huru tujiandae kupambana na Alshabab bumper to bumper maana watatekwa asubuhi tu na magaidi.
Sisi tutachinjana nje ya Mungano nyinyi washenzi kila siku mwachinjana TENA Kwa sababu za kijinga Tu uhusikii matukio huko kwenu mauaji ya kinyama kila siku WATANGANYIKA mmechanganyikiwa hamna points mnakuja na hoja butu kuhalalisha UKOLONI WENU ZANZIBAR
 
Back
Top Bottom