PendoLyimo
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 879
- 956
Wakuu habari,
Aisee nimeona tu nimpongeze Dkt. Biteko waziri wa madini, Hakika hu mwaka ameunza vizuri sana.
Minada ya Madini ya vito sasa kuanzishwa, kulikuwa na kilio kikubwa sana kwa wafanyabiashara wa Madini kuhusu hi minada, kilio waziri kakisikia na sasa kufanyiwa kazi.
Aisee nimeona tu nimpongeze Dkt. Biteko waziri wa madini, Hakika hu mwaka ameunza vizuri sana.
Minada ya Madini ya vito sasa kuanzishwa, kulikuwa na kilio kikubwa sana kwa wafanyabiashara wa Madini kuhusu hi minada, kilio waziri kakisikia na sasa kufanyiwa kazi.