Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,863
- 93,642
Nitajie mtanzania ambaye ni Balozi wa nyumba 10 kule Somalia au India?Watu weusi ni wabaguzi wao kwa wao.
US na Europe leo hii kuna wanasiasa hadi wahindi na wapo kwenye uongozi.
Nitajie mtanzania ambaye ni Balozi wa nyumba 10 kule Somalia au India?Watu weusi ni wabaguzi wao kwa wao.
US na Europe leo hii kuna wanasiasa hadi wahindi na wapo kwenye uongozi.
Bora msaada upelekwe kwa waafrika wenzetu wa Haiti kuliko hao wengine .Wenzetu Kenya wamepata connection Toka Marekani na sasa Wamepeleka Mapolisi Haiti na kujiimarisha Kiuchumi
Nakushauri Bashe wasiliana na Waziri Anthony Blinken wa USA kuna fursa ya kupeleka mazao ya Kilimo
Kwa hali waliyonayo Wapalestina kwa sasa wanahitaji zaidi Nafaka
Ni hilo tu kijana wangu Hussein
Nawasilisha
Unazungumzia utaifa ama asili ya mtu?Nitajie mtanzania ambaye ni Balozi wa nyumba 10 kule Somalia au India?
Kwanini na wewe usiende kuwa Mbunge Somalia au India? tukihoji mnasema wabaguzi wao wakihoji msaema ni kero za muungano sijuiUnazungumzia utaifa ama asili ya mtu?
Hata hapa Tanzania hakuna msomali ni balozi wa nyumba 10.
Mtu kuwa mzungu, arab au Indian hakumfanyi asiwe Mtanzania.
Eliakim Massawe ni diwani kule SomaliaNitajie mtanzania ambaye ni Balozi wa nyumba 10 kule Somalia au India?
Ndizo fikra za kibaguzi hizi, mi sina haja ya kwenda India na pia si nwanasiasa.Kwanini na wewe usiende kuwa Mbunge Somalia au India? tukihoji mnasema wabaguzi wao wakihoji msaema ni kero za muungano sijui
Bashe ni Mtanzania na ni Muafrika mwenzetu mwenye asili ya Kihabeshi.Nitajie mtanzania ambaye ni Balozi wa nyumba 10 kule Somalia au India?
Nani amesema siyo Mtanzania? nitajie ukoo wenye jina la Bashe na ni kabila gani?Bashe ni Mtanzania na ni Muafrika mwenzetu mwenye asili ya Kihabeshi.
Mbona India na China ni wabaguzi na ni matajiri haswa?Ndizo fikra za kibaguzi hizi, mi sina haja ya kwenda India na pia si nwanasiasa.
US imeziacha nchi nyingi kimaendeleo ikiwemo Russia, China n.k, ndilo taifa utamaduni wake unauzika zaidi duniani, nchi kama Canada na wao sasa hivi wana skilled immigrants policy, hilo US waliliona karne kadhaa nyuma hii dunia Mungu kaumba jamii tofauti zenye vipaji tofauti na uwezo tofauti.
Nchi zenye ubaguzi duniani si chochote si lolote.
Kata gani?Eliakim Massawe ni diwani kule Somalia
Mbona Mbowe ni jina la Wanyasa wa Malawi Lakini uchagani yuko mmoja, Mbambabay alikuwepo George Mbowe na Mpwapwa yuko Mgogo mmoja Alfred MboweNani amesema siyo Mtanzania? nitajie ukoo wenye jina la Bashe na ni kabila gani?
SolonaiKata gani?
Acha ujinga akina Mbowe wapo wengi sn uchaganiMbona Mbowe ni jina la Wanyasa wa Malawi Lakini uchagani yuko mmoja, Mbambabay alikuwepo George Mbowe na Mpwapwa yuko Mgogo mmoja Alfred Mbowe
Acha hizo wewe 😂
Wa Familia ya Kambona 😄😄Acha ujinga akina Mbowe wapo wengi sn uchagani
Hiyo ipo NjombeSolonai
Kweni Natanyahu ni jina la Kitanzania? Acha ubaguzi wa kijinga.Nani amesema siyo Mtanzania? nitajie ukoo wenye jina la Bashe na ni kabila gani?