Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,436
- 5,234
Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, ameitaka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) kuwaunganishia maji wananchi watakaonufaika na Mradi wa Maji wa Bangulo kwa ufanisi na uaminifu, na kuhakikisha hakuna mianya yoyote ya rushwa itakayojitokeza kwani kuunganishiwa maji ni haki ya msingi ya mwananchi.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Waziri Aweso ameyasema hayo Jumanne, Machi 18, 2025, alipotembelea mradi huo uliopo mtaa wa Bangulo Hali ya Hewa, katika kata ya Pugu Station, wilayani Ilala, mkoani Dar es Salaam. Mradi huo unatarajiwa kunufaisha wananchi 450,000 wa kata mbalimbali za wilaya hiyo na wilaya jirani.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Waziri Aweso ameyasema hayo Jumanne, Machi 18, 2025, alipotembelea mradi huo uliopo mtaa wa Bangulo Hali ya Hewa, katika kata ya Pugu Station, wilayani Ilala, mkoani Dar es Salaam. Mradi huo unatarajiwa kunufaisha wananchi 450,000 wa kata mbalimbali za wilaya hiyo na wilaya jirani.