Waziri ataka walimu kuchangamkia fursa

Waziri ataka walimu kuchangamkia fursa

RAHA KAMILI

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2014
Posts
203
Reaction score
84

Waziri ataka waalimu kuchangamkia FURSA. Sekta ya benki imepiga hatua kubwa sana Nchini Tanzania kwenye miaka ya 2000. Umuhimu wa sekta hii ndio ulimpelekea Waziri Suleiman Jafo kuwataka waalimu Nchini Tanzania kuchangamkia FURSA ya mikopo na huduma ya benki yao ya Mwalimu commercial bank ambayo sasa inawawezesha kupata huduma kupitia matawi, ATM.

Mwalimu Wakala na Mwalimu mobile popote Tanzania. Akizungumza wakati wa kuzindua huduma ya Mwalimu Visa Card Waziri Jafo alisema kwa waalimu ambao wanalenga kujikomboa kiuchumi ni vizuri wakatumia huduma za Mwalimu bank kwani sio tu inawapa mikopo nafuu lakini pia inawajali kabla ya ajira na baada ya ajira yaani wakistaafu.
 
Jafo kapewa bei kwahiyo promo?
 
Sio vibaya kuwakumbusha kwamba Kokopa ni Harusi na Kulipa ni Majanga..., Fursa hio huenda ni kwa mkopeshaji na sio mkopaji
 
Hahaha jafo si yupo huko.muungano na mazingira sasa hao walimu kakutana nao lini ?
 
Sasa huyo Jafo nae na Bashungwa sinisawatu
Amelea wakurugenzi wezi halmashauri zilijaa ubabe,
Akwende zake achukue yeye hizo fursa
 

Waziri ataka waalimu kuchangamkia FURSA. Sekta ya benki imepiga hatua kubwa sana Nchini Tanzania kwenye miaka ya 2000. Umuhimu wa sekta hii ndio ulimpelekea Waziri Suleiman Jafo kuwataka waalimu Nchini Tanzania kuchangamkia FURSA ya mikopo na huduma ya benki yao ya Mwalimu commercial bank ambayo sasa inawawezesha kupata huduma kupitia matawi, ATM.

Mwalimu Wakala na Mwalimu mobile popote Tanzania. Akizungumza wakati wa kuzindua huduma ya Mwalimu Visa Card Waziri Jafo alisema kwa waalimu ambao wanalenga kujikomboa kiuchumi ni vizuri wakatumia huduma za Mwalimu bank kwani sio tu inawapa mikopo nafuu lakini pia inawajali kabla ya ajira na baada ya ajira yaani wakistaafu.
Mnataka wakope, kwa nini msiwalipe madeni wanayowadai? Himiza ulipaji wa madeni na sio kuwaingiza kwenye madeni yenye riba zinazozidi kuwadidimiza kiuchumi.
 
Back
Top Bottom