Waziri anusurika kipigo

Angewasiliana na Shibuta kwanza....teh teh!!!
 
... Watapigwa Tu, Kauli Inaanza Kuwageukia. Malipo Huwa Ni Hapa Hapa Duniani
 
Na wapigwe tu maana tumechoka sasa.
 
hiyo ni salaam kwa wana CCM anaejijua poyoyo hasikanyage huku na maneno yenu ya kanga huko huko DAR
 
niwe mkweli toka moyoni, CCM kwa kukataa Tanganyika nimepoteza UZALENDO na IMANI kabisaa.

Hata wakifa sawa tu
 
Wapigwe tuu...tumechoka...by mizengo pinda
 
Tukiwapiga au kuwachukulia hatua nchi itayumba....tuwaache waendelee na kazi yao
 
shinyanga ni eneo hatari sana kwa magamba , wawe waangalifu sana .
 
Namsubiri sana Pro Muhongo siku atakayoenda Mtwara na kuhutubia mkutano wa hadhara na kutoa yale majibu yake.


Sent from my iPad using JamiiForums
 

Chama cha mizigo !
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…