Waziri anusurika kipigo

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
10,346
Reaction score
26,138
Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Godfrey Zambi amenusurika kupokea kichapo toka kwa wakulima wa pamba mkoani Shinyanga[?] . Kadhia hiyo ilifuatia majibu yasiyoridhisha ya Zambi kwa wakulima hao juu ya pembejeo na masoko ya pamba.

Chanzo: Mtanzania
 

So baada ya kumpiga ndio wangepata soko la pamba! or? wajinga tu.
 
Kipindi cha bla bla kimekwisha watu wanajua ukweli. Ccm amkeni. Otherwise!!!!!!!!
 
.. Aaah, Kumbe Amenusurika? Wangemutwanga Za Uso Ndo Ingekua Fresh Sana
 
Slaa asingeshindwa kutoa majibu,yeye zambi aljua kuwa wazr ni raha tu..
 

Wananchi hawana akili kazi yao kutumia nguvu nyingi
 
... Watanganyika Wa Sasa Siyo Wa Enz Za Mwalimu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…