Waziri anazuiliwa kutembelea kiwanda cha karatasi Mgololo

mtwa mkulu

JF-Expert Member
Sep 11, 2013
8,586
11,225
Wakuu ikiwa ni miezi michache kupita tangu nilipo ripoti ufisadi wa kutisha kiwanda cha karatasi Mgololo, wizara ya viwanda iliuandikia uongozi wa kiwanda kueleza kuwa waziri atatembelea kiwanda hicho.Ziara hiyo ilitakiwa kufanyika mapema wiki hii.

mwanzo nilipata taarifa za maandalizi makubwa yanayofanywa kumpokea mgeni huyo siku inayofuata. Hata hivyo ziara hiyo iliota mbawa na waziri hakuja.

Niliwasiliana na (mnaa) wangu kujua kwanini waziri hakuja. Mnaa wangu ni mtu wa karibu na maafisa wa kiwanda. Alinitonya kuwa ziara hiyo ilipokelewa na ushirikina wa kutisha kutoka kwa uongozi wa kiwanda.

Mnaa wangu akanijulisha kuwa "Dawa zilimwagwa njia ambayo waziri angepita kuanzia sawala mpakagololo" Taarifa Nyeti kutoka kwa meneja inadai kuna mahirizi ya kihindi yalijazwa ofisini.Licha ya kuwa serikali haiamini mambo haya ukweli ni kuwa waziri angetua angekuwa na nafasi finyu kutoa maamuzi magumu.

Haieleweki mpaka sasa Kama kuna mtu alimtonya waziri kuhusu unyama unao andaliwa hivyo kumzuia asije ama hii midawa imemzuia asije.Hata hivyo tetesi kutoka wizarani zinadai kuwa ziara hiyo itafanywa ghafla.

Kiwanda cha karatasi mgololo kilipata kuwa kiwanda kikubwa Sana afrika mashariki na Kati.Kilijengwa miaka ya 1980 kwa jasho la Wakulima wakati wa utawala wa mwalimu.Kilikuwa ni cha tatu kwa ukubwa duniani kikitanguliwa na kile cha katatasi Norway na chakaratasi South Africa.

kilibinafsishwa mwaka 2003 kwa kampuni ya Rai Group katika kile kinachotajwa kuwa mkataba wenye utata mkubwa.

My take: Kuna uozo ! uozo usio tamkika! serikali isifumbie macho kiwanda cha karatasi mgololo.
 
Sasa nchi hii wapi pako salama.......?.......hebu ngoja tuone.......
 
Hilo la kumwaga madawa na mahirizi barabarani lina nafasi kweli mnyalukolo??? Hata hivyo kwingine kote tumesikia ziara za kushitukiza, kwa nini hawa waliwaandikia barua ya taarifa ya ziara ambayo iliwafanya wapate muda wa kufanya maandalizi? Ukishitukiza ndo unapata kile ambacho wahusika wasingependa ukione.
 
mgololo wale wahindi ni majizi makubwa sana...nchi hii kuanzia chekechea mpaka phd ilitakiwa wanafunzi watumie bure zana zote za karatasi sababu kiwanda ni chetu na miti ya karatasi ni yetu..
 
Sasa nchi hii wapi pako salama.......?.......hebu ngoja tuone.......
Sasa nchi hii wapi pako salama.......?.......hebu ngoja tuone.......
Dada kuna thread nimeisoma humu iliandikwa mwaka 2008 mtu ameuliza kiwanda cha kstatasi mufindi kimeuzwa kwa nani?
kuna member akaja na facts kuwa Rai group na singht wana miliki karibu asilimia moja huku asilimia 99 ikiwa inamilikiwa na someone unknown . facts hizi hazina tofauti Sana na zili niliziandika kwenye barua ya wazi kwa JPM kuhusu ufisadi wa kutisha kiwanda cha karatasi mgololo.
Although habari za Mgololo hazina mvuto wa hisia kwa wengi kwakuwa hawakijui hiki kiwanda. lakini anaye kijua akisikia yanayoendelea pale ni facts za kuliza kububujisha machoziiiiii.
Sito kata tamaaa!
licha ya kwamba usalama ni mdogo binafsi hili jipu napambana nalo mpaka JPM atumbue
 
Duhh! Hii nayo kali. Ni wakati mzuri sasa watumishi wa Mungu na makanisa yao kumsaidia waziri mhusika kwa maombi ili aweze kufika hapo kiwanda na kutumbua jipu hilo. Maombi yalenge kumlinda waziri dhidi ya nguvu za miungu ya kihindi. Hiyo miungu ya Kihindi itakapomwona waziri ishindwe na kulegea.
 
Wakuu ikiwa ni miezi michache kupita tangu nilipo ripoti ufisadi wa kutisha kiwanda cha karatasi mgololo, wizara ya viwanda iliuandikia uongozi wa kiwanda kueleza kuwa waziri atatembelea kiwanda hicho. Ziara hiyo ilitakiwa kufanyika mapema wiki hii.
mwanzo nilipata taarifa za maandalizi makubwa yanayofanywa kumpokea mgeni huyo siku inayofuata. Hata hivyo ziara hiyo iliota mbawa na waziri hakuja.
Niliwasiliana na (mnaa) wangu kujua kwanini waziri hakuja. Mnaa wangu ni mtu wa karibu na maafisa wa kiwanda. Alinitonya kuwa ziara hiyo ilipokelewa na ushirikina wa kutisha kutoka kwa uongozi wa kiwanda. Mnaa wangu akanijulisha kuwa "Dawa zilimwagwa njia ambayo waziri angepita kuanzia sawala mpakagololo" Taarifa Nyeti kutoka kwa meneja inadai kuna mahirizi ya kihindi yalijazwa ofisini. licha ya kuwa serikali haiamini mambo haya ukweli ni kuwa waziri angetua angekuwa na nafasi finyu kutoa maamuzi magumu.
Haieleweki mpaka sasa Kama kuna mtu alimtonya waziri kuhusu unyama unao andaliwa hivyo kumzuia asije ama hii midawa imemzuia asije. Hata hivyo tetesi kutoka wizarani zinadai kuwa ziara hiyo itafanywa ghafla.
kiwanda cha karatasi mgololo kilipata kuwa kiwanda kikubwa Sana afrika mashariki na Kati. Kilijengwa miaka ya 1980 kwa jasho la Wakulima wakati wa utawala wa mwalimu.kilikuwa ni cha tatu kwa ukubwa duniani kikitanguliwa na kile cha katatasi Norway na chakaratasi south africa. kilibinafsishwa mwaka 2003 kwa kampuni ya Rai Group katika kile kinachotajwa kuwa mkataba wenye utata mkubwa.
My take: Kuna uozo ! uozo usio tamkika! serikali isifumbie macho kiwanda cha karatasi mgololo.
Uamuzi wa kuuza kiwanda hiki ni moja ya maamuzi mabaya yaliyo pata kufanywa na serikali ya awamu ya tatu.
 
Wakuu ikiwa ni miezi michache kupita tangu nilipo ripoti ufisadi wa kutisha kiwanda cha karatasi mgololo, wizara ya viwanda iliuandikia uongozi wa kiwanda kueleza kuwa waziri atatembelea kiwanda hicho. Ziara hiyo ilitakiwa kufanyika mapema wiki hii.
mwanzo nilipata taarifa za maandalizi makubwa yanayofanywa kumpokea mgeni huyo siku inayofuata. Hata hivyo ziara hiyo iliota mbawa na waziri hakuja.
Niliwasiliana na (mnaa) wangu kujua kwanini waziri hakuja. Mnaa wangu ni mtu wa karibu na maafisa wa kiwanda. Alinitonya kuwa ziara hiyo ilipokelewa na ushirikina wa kutisha kutoka kwa uongozi wa kiwanda. Mnaa wangu akanijulisha kuwa "Dawa zilimwagwa njia ambayo waziri angepita kuanzia sawala mpakagololo" Taarifa Nyeti kutoka kwa meneja inadai kuna mahirizi ya kihindi yalijazwa ofisini. licha ya kuwa serikali haiamini mambo haya ukweli ni kuwa waziri angetua angekuwa na nafasi finyu kutoa maamuzi magumu.
Haieleweki mpaka sasa Kama kuna mtu alimtonya waziri kuhusu unyama unao andaliwa hivyo kumzuia asije ama hii midawa imemzuia asije. Hata hivyo tetesi kutoka wizarani zinadai kuwa ziara hiyo itafanywa ghafla.
kiwanda cha karatasi mgololo kilipata kuwa kiwanda kikubwa Sana afrika mashariki na Kati. Kilijengwa miaka ya 1980 kwa jasho la Wakulima wakati wa utawala wa mwalimu.kilikuwa ni cha tatu kwa ukubwa duniani kikitanguliwa na kile cha katatasi Norway na chakaratasi south africa. kilibinafsishwa mwaka 2003 kwa kampuni ya Rai Group katika kile kinachotajwa kuwa mkataba wenye utata mkubwa.
My take: Kuna uozo ! uozo usio tamkika! serikali isifumbie macho kiwanda cha karatasi mgololo.

Asante sana kwa taarifa. Wako wapi akina Stan Katabaro wa sasa. Waandishi wa sasa wanaandika habari za vigodoro tu. Kutwa kuchwa kuongozana kupiga mapicha viongozi wa serikali, sio waibua issues. Inatia huruma sana. Labda gazeti la Jamhuri lililosifiwa na Rais litaibua habari zaidi.l
 
Dada kuna thread nimeisoma humu iliandikwa mwaka 2008 mtu ameuliza kiwanda cha kstatasi mufindi kimeuzwa kwa nani?
kuna member akaja na facts kuwa Rai group na singht wana miliki karibu asilimia moja huku asilimia 99 ikiwa inamilikiwa na someone unknown . facts hizi hazina tofauti Sana na zili niliziandika kwenye barua ya wazi kwa JPM kuhusu ufisadi wa kutisha kiwanda cha karatasi mgololo.
Although habari za Mgololo hazina mvuto wa hisia kwa wengi kwakuwa hawakijui hiki kiwanda. lakini anaye kijua akisikia yanayoendelea pale ni facts za kuliza kububujisha machoziiiiii.
Sito kata tamaaa!
licha ya kwamba usalama ni mdogo binafsi hili jipu napambana nalo mpaka JPM atumbue

Ukae sawa ndugu yangu, hii dhamira yako ni njema ila tatizo unasikia polisi wanawalazimisha uongozi wa jf kutaka kujua wanaotoa taarifa kama hizi zako? Kibaya zaidi hata hao unaotaka watumbue majibu hawahoji ni polisi gani wanaolazimisha kutaka kupata majina ya wahusika wa kumwaga taarifa za kulinusuru taifa.
 
Asante sana kwa taarifa. Wako wapi akina Stan Katabaro wa sasa. Waandishi wa sasa wanaandika habari za vigodoro tu. Kutwa kuchwa kuongozana kupiga mapicha viongozi wa serikali, sio waibua issues. Inatia huruma sana. Labda gazeti la Jamhuri lililosifiwa na Rais litaibua habari zaidi.l
Gazeti la jamuhuri miaka michache iliyopita walitupia habari secret saaana kuhusu hiki kiwanda. Nililikuta ubungo linapigwa na jua linatia huruma wakati huo laia wanasoma Mawio. kiukweli jamuhuri limenipa jeuri ya kuanza kudeal na such issue
 
mgololo wale wahindi ni majizi makubwa sana...nchi hii kuanzia chekechea mpaka phd ilitakiwa wanafunzi watumie bure zana zote za karatasi sababu kiwanda
ni chetu na miti ya karatasi ni yetu..

Hawajamaa ni wezi sana. Kwanza huko kwa o waliko toka ni masikini sana wanakuja tajirikia huku kwatu alafu wanaleta dharau na ubaguzi wa hali ya juu.

Hawa ndio pia wanafanya uchumi wetu kuyumba. wanatabia yakuvuna pesa huku kwetu alafu wanakwenda kuhifadhi kwenye mabenki yao huko india. Alafu ikifikia kipindi cha uchaguzi wanajifanya kufunga biashara wanarudi kwao wakidai wanahofia usalama yaani siwapendi basi tu .

Lakini sisi wenyewe ni wakujilaumu kwa kushindwa kusimamia misingi ya uzalendo,uwajibikaji na kutothamini utu wetu na kuwaachi wageni kila kitu.
 
Back
Top Bottom