Wazee wa zamani na utajiri wao

Wazee wa zamani na utajiri wao

kunyala

Member
Joined
Apr 11, 2013
Posts
76
Reaction score
18
Wadau najaribu kuangalia maisha yanavyokwenda naona hali si hali.lakini najiuliza hawa wazee wetu waliwezaje kufanya mambo ambayo sisi vijana naona yanatushinda hasa walikuwa waajiriwa wa serikali.

Mameneja wa bank,walimu wakuu,madereva,wafanyakazi na mameneja wa taasisi nyingi za umma mishahara ilikuwa midogo bt ndio walikuwa na nyumba,magari,mifugo ya kutosha na maisha ya raha ( tv+ satelite dish).

Wao waliweza vp wakati sisi naona hali si hali.
 
Kwanza hela ilikuwa na thamani. Je unakumbuka noti ile nyekundu ya MMasai? Ilikuwa kama dola.

Pili wazee hawakuwa wavivu kama ilivyo sasa. Watu wengi sana ni wavivu kwa kila nyanja ikiwepo kufikiri na kubuni. Wa sasa wanawaza sembe na pembe za ndovu tuuu huku vijana wakiishia masharobaro na mabongo flavour. Tuko reverse ile mbaya.
 
Wadau najaribu kuangalia maisha yanavyokwenda naona hali si hali.lakini najiuliza hawa wazee wetu waliwezaje kufanya mambo ambayo sisi vijana naona yanatushinda hasa walikuwa waajiriwa wa serikali.Mameneja wa bank.walimu wakuu.madereva.wafanyakazi na mameneja wa taasisi nyingi za umma.Mishahara ilikuwa midogo bt ndio walikuwa na nyumba.magari.mifugo ya kutosha na maisha ya raha( tv+ satelite dish).Wao waliweza vp wakati sisi naona hali si hali.

Determination + commitment= Wazee wa zamani na utajiri wao
 
Kwanza hela ilikuwa na thamani. Je unakumbuka noti ile nyekundu ya MMasai? Ilikuwa kama dola.

Pili wazee hawakuwa wavivu kama ilivyo sasa. Watu wengi sana ni wavivu kwa kila nyanja ikiwepo kufikiri na kubuni. Wa sasa wanawaza sembe na pembe za ndovu tuuu huku vijana wakiishia masharobaro na mabongo flavour. Tuko reverse ile mbaya.
 
Kwanza hela ilikuwa na thamani. Je unakumbuka noti ile nyekundu ya MMasai? Ilikuwa kama dola.

Pili wazee hawakuwa wavivu kama ilivyo sasa. Watu wengi sana ni wavivu kwa kila nyanja ikiwepo kufikiri na kubuni. Wa sasa wanawaza sembe na pembe za ndovu tuuu huku vijana wakiishia masharobaro na mabongo flavour. Tuko reverse ile mbaya.

Naikumbuka hiyo mfamaji.bt hao masharo pia kuna ambao wako vizuri.me napata wasiwasi kama dereva tu wa gari la shule au anamwendesha bosi flan life lake lilikuwa la hali ya juu.lakini sasa afisa wa serikali maisha yake ya kusuasua.
 
Ni vijana wa zamani na si wazee wa zamani, zamani hao unawaita wazee wa zamani walikuwa vijana kama wewe na ukiwaita wazee wa zamani ina maana ni kizazi cha nyuma saaaana, wakati si lengo lako kuwazungumzia hao.
 
Wadau najaribu kuangalia maisha yanavyokwenda naona hali si hali.lakini najiuliza hawa wazee wetu waliwezaje kufanya mambo ambayo sisi vijana naona yanatushinda hasa walikuwa waajiriwa wa serikali. Mameneja wa bank,walimu wakuu,madereva,wafanyakazi na mameneja wa taasisi nyingi za umma mishahara ilikuwa midogo bt ndio walikuwa na nyumba,magari,mifugo ya kutosha na maisha ya raha ( tv+ satelite dish). Wao waliweza vp wakati sisi naona hali si hali.
This is compeletely NOT true(mtazamo wangu huru) kuwa vijana wa zamani wamemudu kufanya mambo makubwa, ila ukweli ni kwamba kuanzia kipindi cha rais mwinyi uchumi ulipokosa mwelekeo wao wakaneemeka b'coz wao ndio walikuwa kwenye system kipindi hicho, na wengi wao wameiba sana(i guarantee) hadi kufikia mafanikio walio nayo! Vijana wa sasa hv(mm nikiwa mmojawapo) tunakimbiza ile mbayaaaaaa. . . . . .asikuambie mtu! Vijana wa leo wanafikiri katika kumiliki microsoft, google, berkshire hathaway, nk nk nk nk. . . . .vijana wa zamani wanakula 'goodwill' nothing else! Ahsanteni sana!
 
This is compeletely NOT true(mtazamo wangu huru) kuwa vijana wa zamani wamemudu kufanya mambo makubwa, ila ukweli ni kwamba kuanzia kipindi cha rais mwinyi uchumi ulipokosa mwelekeo wao wakaneemeka b'coz wao ndio walikuwa kwenye system kipindi hicho, na wengi wao wameiba sana(i guarantee) hadi kufikia mafanikio walio nayo! Vijana wa sasa hv(mm nikiwa mmojawapo) tunakimbiza ile mbayaaaaaa. . . . . .asikuambie mtu! Vijana wa leo wanafikiri katika kumiliki microsoft, google, berkshire hathaway, nk nk nk nk. . . . .vijana wa zamani wanakula 'goodwill' nothing else! Ahsanteni sana!

The dealer b4 mwinyi vijana hao wazamani walikuwa fresh ebu jaribu kuangalia matajiri wa tanzania now umri wao na fedha walizo nazo je ni kwamba wamezipata kwa kipindi hicho cha mwinyi kweli na je kipindi hicho walikuwa na umri gani linganisha na vijana wengi wa sasa na hali zao.jaribu kuangalia kijijini kwenu au mtaani kwenu wale madingi madon kazi zao zilikuwa nn na vijana wa sasa kazi zao nn.kuna wengine kazi zao zamani zilikuwa za chini tu ambazo sasa watu wanazikimbia bt hao vijana wa long walitusua mbaya.
 
Back
Top Bottom