Kwel kabisa Mkuranga pana vijana wasomi wanaopenda mabadiliko pia hata wabunge walopita wote hawajafanya la maana.Kijana silaha hatakiwi Kisiju na wamesema akienda atakiona cha moto,kuna jamaa wa CUF walokuwa wakimtegemea nae kawasalit kajiunga na k-silaha.Wanasema hawatak kusikia CCM wala CUF wanadai vyote hivyo havina mwelekeo,tegemeo lao n CHADEMA tu,kwa hiyo Mwenyekiti Vijana CHADEMA aende kufanya mikutano na pia kutafuta vijana waaminifu kwa ajili ya chaguzi zijazo.