DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,652
- 2,627
Lema atakwenda na mkuu wake Tslaa,leo nadhani wapo kwa James Lembeli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbunge wao ana Lap top 3, Bunduki 1, Pistol 1, Pete za almasi, Simu 4, Cash money nk LOL
Kwa mtaji huo lazima watafute altenative...
Kwel kabisa Mkuranga pana vijana wasomi wanaopenda mabadiliko pia hata wabunge walopita wote hawajafanya la maana.Kijana silaha hatakiwi Kisiju na wamesema akienda atakiona cha moto,kuna jamaa wa CUF walokuwa wakimtegemea nae kawasalit kajiunga na k-silaha.Wanasema hawatak kusikia CCM wala CUF wanadai vyote hivyo havina mwelekeo,tegemeo lao n CHADEMA tu,kwa hiyo Mwenyekiti Vijana CHADEMA aende kufanya mikutano na pia kutafuta vijana waaminifu kwa ajili ya chaguzi zijazo.
Wakuu nipo nasikiliza kipindi cha pata pata cha Wapo radio ambapo wazee wa wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani wamewaomba chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA waende wilayani humu ili wao warudishe kadi za CCM kwani madiwani wa wilaya hiyo ambao wengi ni wa CCM wamewasaliti wananchi hao kwa kutowasikiliza matatizo yao wakati wakati wa kampeni madiwani hao wa magamba walifanya kampeni hadi usiku.
Wazee hao wamesema wamekichoka CCM na wapo tayari kuhamia CHADEMA kwani wana imani ndicho chama kinachnweza kuwakombna.Nawaomba viongozi wa CHADEMA waanze kuendesha operesheni sangara ili kuzoa wanachama huko Mkuranga kwani wananchi wameisha wachoka magamba.
View attachment 52042Mbunge wao anauza Wese la kuchakachua!