Wazee wa CCM Hai wapania kumg'oa Mbowe

Wazee wa CCM Hai wapania kumg'oa Mbowe

Tumemchoka Bw. Mbowe, ameamua atusaliti watu wa jimboni kwake, tulimwamini sana tukampa ubunge, lkn kaamua atutelekeze, sidhani kama kuna mwanaHai anayeweza kumpa kura oct. Hana cha kutuambia
Wewe ndo nani huko hai?
 
Katika mbunge waliyokua na raha nae ni Mh Mbowe ametekeleza ahadi zake kikamilifu mkutano wa juzi
 
Hii nchi ni ya Watanzania wote na sio ya watu wachache, kura yako moja kisiwe kigezo cha kumdhuru mwingne
 
wazee wa hai ndio mbowe !!! kwa maana hiyo hakuna wa kumuondoa mbowe :rockon:
 
Mbona cdm mwaka huu watajibeba saana..act mbele kwa mbele.uzalendo kwanza

Wazee wa ACT mnaungana na wazee wa CCM kumkabili Mbowe

ACT chama makini cha kupambana na CDM
 
Fuya kimbita alikuwa mbunge wa HAI kwa tiketi ya ccm kwa miaka 5 na hakuwahi kuuliza swali hata moja bungeni na katika miaka mitano hakuomekana jimboni hadi kipindi cha kampeni

HAPA hai labda mpizani wa CDM awe chama kingine ila sio ccm mapema sana ushidi upo cdm
 
Fuya kimbita alikuwa mbunge wa HAI kwa tiketi ya ccm kwa miaka 5 na hakuwahi kuuliza swali hata moja bungeni na katika miaka mitano hakuomekana jimboni hadi kipindi cha kampeni

HAPA hai labda mpizani wa CDM awe chama kingine ila sio ccm mapema sana ushidi upo cdm
Asante sana
 
Njaa ukiiendekeza sana inaondoa ufahamu na kukufanya kuwa mtumwa.

Wakati Kikwete na Magufuli walipofika jimboni hai,walimwaga pongezi nyingi kwa Mbowa kwa kazi zuri za kimaendeleo ana zozifanya kwa kushirikiana na wananchi wa jimbo.

Watu wengine ndio wanaibuka na kubeza juhudi zote za Mbowe kana kwamba hakuna chochote kilichofanywa na Mbowe,ukiwaangalia watu wenyewe wanaombeza Mbowe ni wale waliopigika kwa njaa na wako kazini kumpigia debe mtu wao ili akibahatika kupata awezi kuwafikiria mkono uwende kinywani.
 
Tatizo mleta mada hauwajui WAMACHAME.Ngoja tusubiri...
 
malya naye ameamua kuja na stahili ya lowassa kwenda kutafuta wazee njaa na kuwaomba wajitolkezee kumuomba agombee Better come with new trick that is too old.
 
Hakuna wa kumtoa mbowe hai.....hata huyo mallya anajua na ameshindwa tu kuwakatalia hadh@rani hao wazee ndio maana akasema akatafakari.......ukweli ni kuwa haendi kutafakari wala nini, ndio imetoka hiyo.
 
Njaa ukiiendekeza sana inaondoa ufahamu na kukufanya kuwa mtumwa.

Wakati Kikwete na Magufuli walipofika jimboni hai,walimwaga pongezi nyingi kwa Mbowa kwa kazi zuri za kimaendeleo ana zozifanya kwa kushirikiana na wananchi wa jimbo.

Watu wengine ndio wanaibuka na kubeza juhudi zote za Mbowe kana kwamba hakuna chochote kilichofanywa na Mbowe,ukiwaangalia watu wenyewe wanaombeza Mbowe ni wale waliopigika kwa njaa na wako kazini kumpigia debe mtu wao ili akibahatika kupata awezi kuwafikiria mkono uwende kinywani.

Nakumbuka:





 
Last edited by a moderator:
Katika mbunge waliyokua na raha nae ni Mh Mbowe ametekeleza ahadi zake kikamilifu mkutano wa juzi

Mkuu wew ni mkazi wa hai jimbo la hai
Unaweza kututajia walau ahadi 2,3 hivi alizotekeleza mbowe au unaleta tu mahaba hapa
 
Back
Top Bottom