Sijazungumzia mshahara wangu nimesema maokoto tu lkn pia sijaaonesha kumtambishia mtu hata kidogo na wala sijawahi jaribu na hapa nliandika kwa jeuri ya fake ID tu, ila kama ww unalipwa vzr hyo 50k Kwa siku ni ww tu na kula kwa nafasi yako usifanye kum-underrate mtu!
Sijazungumzia mshahara wangu nimesema maokoto tu lkn pia sijaaonesha kumtambishia mtu hata kidogo na wala sijawahi jaribu na hapa nliandika kwa jeuri ya fake ID tu, ila kama ww unalipwa vzr hyo 50k Kwa siku ni ww tu na kula kwa nafasi yako usifanye kum-underrate mtu!
Ndugu, kumbuka kinachoongezeka ni annual increment na si nyongeza ya kima cha mshahara kwahiyo usijipe matumaini kupitiliza mwishowe ukafa Kwa presha bure pale utakapokutana na ongezeko la 19 elfu + 19 elfu ya mwezi July, jumla 38 elfu.