and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 4,515
- 14,990
Sasa apige show kadri ya uwezo wake, kama tako 2 ama tatu ndio uwezo wake, basi zinatosha ndio uwezo wake.... Sio kuji boost na midawa, na hapo utakuta anakunywa na energy drinks, siku hayo mavitu yakiripuka ndio unakata moto huko lodge/hotel..tatizo wazee wa kiume wana libido zimebaki ila potency hawana
nadhani uzee ndo umri sahihi wa PULI.
Ndio maana wanakufa vifo vya aibu huko nyumba za wageni kumbe ni sababu ya hizi mamboUnakutana na mzee au kijana bonge na anakitambi anazifakamia energy asubuhi au kabla ya show halafu hana mazoezi,halafu sio moja anapiga tatu na wengine wanamix na Vant au Nyagi. Yote tu kuikomoa K,wakati rate ya mapigo yao ya moyo ni ndogo, so wanaulazimisha moyo.
Dawa ya haya mambo kula vizuri ( hasa vyakula vyenye zinki),lala vizuri ,kunywa maji mengi then asilimia hamsini inayo baki,fanya mazoezi hata 45dk au lisaa kwa siku 3+ kila wiki.Mbona unakuwa vizuri halafu mapenzi sio kukomoana,kwani huwezi kuikomoa K.
Apeweeee ๐๐๐๐MZEE NAE APEWE
Aione mzabzab bin mbususuHivi kufanya ngono lazima? Kama uwezo huna acha wengine wafanye, unakunywa madawa mwisho wake RIP kisa mbususu...
Its true,sexual drive inhencement are dangerous for your heartNipo kikazi mkoa fulani na huwa nina kawaida ya kusafiri between towns kutokana na nature ya kazi yangu na ikibidi huwa nalala lodge/guest unapofika usiku au ninapohisi kuchoka/kupumzika.
Sasa leo nimefika lodge fulani, bahati nzuri au mbaya nikakuta bado usafi ukiendelea. Ikanibidi nisubiri usafi uishe ili nipaki vitu vyangu.
Wakati nasubiri, akaja mdada ambae ndie msimamizi wa lodge hii na kuniomba niingie kwenye kile chumba ninachotaka kufikia akidai anataka anionyeshe kitu ili kama nakijua basi nimpe ufafanuzi.
Kitu chenyewe ndio hiki..
View attachment 3191967
Nikamuuliza alietoka humu ni mtu mzima au kijana?
Akajibu kwamba anazidi umri wangu na naweza kumuita baba. Kwa umri niko mid 30s.
Nikwamwambia hizi dawa zina matumizi mengi ila sana sana hutumika kutibu maradhi ya tezi dume au matatizo yanayohusiana na tezi dume, kwa mfano ukosefu wa nguvu za kiume (erectile dysfunction). Ila zina madhara makubwa kwa wenye matumizi ya muda mrefu maana hupelekea ongezeko la presha hivyo huweza kusababisha stroke, moyo kutanuka au shambulio la moyo (heart attack).
Duuh! Yule dada alibaki kushangaa tu maana kwa anavyosema ni mteja wake wa muda mrefu, na kila akitia kambi lazima apite na mali 2 hadi 3. And everytime akifanya usafi lazima akute pakiti ya hiyo dawa kwenye droo/dustbin anapoondoka..
Wazee wetu mjiangalie aisee, mambo mengine tuwaachie vijana!
KabisaSio watuachie vijana Ila na vijana waache hizo mambo .
Uzinzi ni Kwa ajili ya low thinkers ,unproductive ,dumber n.k
Kuna guest moja mbezi zamani kidogo ulikuwa unapewa hiyo kama zawadi kwa mtejahuyo dada anaijua vizuri tu ila kuna ujumbe alikua anataka kukupa na bahati mbaya hujamuelewa
Umetoa ushauri wa bure.Unakutana na mzee au kijana bonge na anakitambi anazifakamia energy asubuhi au kabla ya show halafu hana mazoezi,halafu sio moja anapiga tatu na wengine wanamix na Vant au Nyagi. Yote tu kuikomoa K,wakati rate ya mapigo yao ya moyo ni ndogo, so wanaulazimisha moyo.
Dawa ya haya mambo kula vizuri ( hasa vyakula vyenye zinki),lala vizuri ,kunywa maji mengi then asilimia hamsini inayo baki,fanya mazoezi hata 45dk au lisaa kwa siku 3+ kila wiki.Mbona unakuwa vizuri halafu mapenzi sio kukomoana,kwani huwezi kuikomoa K.
Watoto wa elfu mbili wanatumalizia wazee wetu...Aione mzabzab bin mbususu
Kwa Nini mkuu, kondomu nzurii ni BULL PEKEE..Tumpongeze mzee Kwa kutumia condom
๐๐ฝ๐๐ฝ๐๐ฝ๐๐ฝ
Hizo dawa pia maalum kwa wazee na wagonjwa wa kisukari,cha ajabu vijana ndio wamekuwa watumiaji wakubwaNipo kikazi mkoa fulani na huwa nina kawaida ya kusafiri between towns kutokana na nature ya kazi yangu na ikibidi huwa nalala lodge/guest unapofika usiku au ninapohisi kuchoka/kupumzika.
Sasa leo nimefika lodge fulani, bahati nzuri au mbaya nikakuta bado usafi ukiendelea. Ikanibidi nisubiri usafi uishe ili nipaki vitu vyangu.
Wakati nasubiri, akaja mdada ambae ndie msimamizi wa lodge hii na kuniomba niingie kwenye kile chumba ninachotaka kufikia akidai anataka anionyeshe kitu ili kama nakijua basi nimpe ufafanuzi.
Kitu chenyewe ndio hiki..
View attachment 3191967
Nikamuuliza alietoka humu ni mtu mzima au kijana?
Akajibu kwamba anazidi umri wangu na naweza kumuita baba. Kwa umri niko mid 30s.
Nikwamwambia hizi dawa zina matumizi mengi ila sana sana hutumika kutibu maradhi ya tezi dume au matatizo yanayohusiana na tezi dume, kwa mfano ukosefu wa nguvu za kiume (erectile dysfunction). Ila zina madhara makubwa kwa wenye matumizi ya muda mrefu maana hupelekea ongezeko la presha hivyo huweza kusababisha stroke, moyo kutanuka au shambulio la moyo (heart attack).
Duuh! Yule dada alibaki kushangaa tu maana kwa anavyosema ni mteja wake wa muda mrefu, na kila akitia kambi lazima apite na mali 2 hadi 3. And everytime akifanya usafi lazima akute pakiti ya hiyo dawa kwenye droo/dustbin anapoondoka..
Wazee wetu mjiangalie aisee, mambo mengine tuwaachie vijana!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] aiseehuyo dada anaijua vizuri tu ila kuna ujumbe alikua anataka kukupa na bahati mbaya hujamuelewa
Mweee ngono nduo kila kitu hapa duniani asitutishe kifa napo ni sehemu ya maisha. Tena kufia ndani ya mbususu ndio vlessing yenyeweAione mzabzab bin mbususu