Lanlady
JF-Expert Member
- Feb 27, 2019
- 1,421
- 4,729
Leo hii vijana wengi wamegeuka kuwa wafuasi wa mawazo na mtazamo wa viongozi (chawa)
Wengi wao hawahoji hata kama wanaona hali si shwari, badala yake wanakubali kila jambo. Je, huenda hii ndio sababu ya kurudishwa kwa viongozi walewale waliowahi kutumikia taifa wakiwa vijana?
Wengi wao hawahoji hata kama wanaona hali si shwari, badala yake wanakubali kila jambo. Je, huenda hii ndio sababu ya kurudishwa kwa viongozi walewale waliowahi kutumikia taifa wakiwa vijana?