mambo ya kikabila na udini mm nayaona ya kizamani na mara nyng sikuiz unakuta hata huyo mtu unaekatazwa hajakulia huko mkoani/kabila lake. Pamoja na wazazi wetu kuwa na hekima lkn hawapo sawa wakati wote, chambua hoja zao unaeza kosa mke/mume bora kisa mtazamo wa kizaman wa kikabila